Safi sana Rais Samia. Hata kama ni kijana wangu unapoharibu nitakuweka pembeni

Safi sana Rais Samia. Hata kama ni kijana wangu unapoharibu nitakuweka pembeni

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Historia inaeleza jinsi Makamba alipokuwa ofisi ya Makamu wa Rais chini ya Mama miaka hiyo kwamba alikuwa kati ya vijana waliokuwa wanaaminika sana na ndio maana baada ya Mama kuwa Rais ameendelea kumuamini.

Pia Nape Nnauye Mama alimkumbuka na kumuamini hadi kumrudisha kwenye baraza la Mawaziri baada ya kutolewa na mtangulizi wake.

Kikubwa zaidi hawa vijana wawili ni watu maarufu sana na wenye nguvu kutokana na background za wazee wao ndani ya chama na Serikalini. Hivyo kuwagusa watu kama hawa inahitaji mtu asiyeyumbishwa.

Niseme tu kuwa kilichofanyika katika mabadiliko haya kimeleta mtizamo kwamba:

1. Unapoharibu utawekwa pembeni bila kujali umaarufu wako au ukaribu wako na Mama
2. Kitendo hiki kinajenga uwajibikaji kwa wengine hasa wanapotafakari umaarufu wa NAPE NA MAKAMBA lakini wamewekwa pembeni
3. Kitendo hiki kinaleta imani kubwa kwa Chama na Rais.

Mama yetu Mwenyezi Mungu azidi kukuongoza katika haki na uwajibikaji
 
sasa sufiani tumeweke wapi?
GTFGW-PWkAAJ1TQ.jpg
 
Historia inaeleza jinsi Makamba alipokuwa ofisi ya Makamu wa Rais chini ya Mama miaka hiyo kwamba alikuwa kati ya vijana waliokuwa wanaaminika sana na ndio maana baada ya Mama kuwa Rais ameendelea kumuamini. Pia Nape Nnauye Mama alimkumbuka na kumuamini hadi kumrudisha kwenye baraza la Mawaziri baada ya kutolewa na mtangulizi wake.

Kikubwa zaidi hawa vijana wawili ni watu maarufu sana na wenye nguvu kutokana na background za wazee wao ndani ya chama na Serikalini. Hivyo kuwagusa watu kama hawa inahitaji mtu asiyeyumbishwa.

Niseme tu kuwa kilichofanyika katika mabadiliko haya kimeleta mtizamo kwamba:-
1. Unapoharibu utawekwa pembeni bila kujali umaarufu wako au ukaribu wako na Mama
2. Kitendo hiki kinajenga uwajibikaji kwa wengine hasa wanapotafakari umaarufu wa NAPE NA MAKAMBA lakini wamewekwa pembeni
3. Kitendo hiki kinaleta imani kubwa kwa Chama na Rais.

Mama yetu Mwenyezi Mungu azidi kukuongoza katika haki na uwajibikaji
Sisi wenye akili kubwa tunasubiri vumbi litulie ndo tunacomment

Hatuwezi jumuishwa na wenye chuki binafsi, machawa, wasioona mbali,
Ngoja kwanza kelele za utumbuzi na utunguzi zipungue tutajadili kwa kina na busara
 
Wengine Yunaomba Mungu huyohuyo amuondoe madarakani mapema 2025
 
Historia inaeleza jinsi Makamba alipokuwa ofisi ya Makamu wa Rais chini ya Mama miaka hiyo kwamba alikuwa kati ya vijana waliokuwa wanaaminika sana na ndio maana baada ya Mama kuwa Rais ameendelea kumuamini.

Pia Nape Nnauye Mama alimkumbuka na kumuamini hadi kumrudisha kwenye baraza la Mawaziri baada ya kutolewa na mtangulizi wake.

Kikubwa zaidi hawa vijana wawili ni watu maarufu sana na wenye nguvu kutokana na background za wazee wao ndani ya chama na Serikalini. Hivyo kuwagusa watu kama hawa inahitaji mtu asiyeyumbishwa.

Niseme tu kuwa kilichofanyika katika mabadiliko haya kimeleta mtizamo kwamba:-
1. Unapoharibu utawekwa pembeni bila kujali umaarufu wako au ukaribu wako na Mama
2. Kitendo hiki kinajenga uwajibikaji kwa wengine hasa wanapotafakari umaarufu wa NAPE NA MAKAMBA lakini wamewekwa pembeni
3. Kitendo hiki kinaleta imani kubwa kwa Chama na Rais.

Mama yetu Mwenyezi Mungu azidi kukuongoza katika haki na uwajibikaji
Bado Mtu mmoja yupo pale Wizara ya Fedha
 
Wtz wazalendo tunataka mama yenu ajiuzulu maana hatuoni kazi yeyote ya maana ikifanyika zaidi ya kuteua tu.
 
Siasa ina trick ya kufanya kinyume na mazoea ili kuwakomba misukule wakuamini.
 
Back
Top Bottom