Safi sana Rais Samia kwa Kuwachana Live Waandishi wa Habari wa Tanzania kwa 'Unafiki' wao

Safi sana Rais Samia kwa Kuwachana Live Waandishi wa Habari wa Tanzania kwa 'Unafiki' wao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325

"Nilichelewa mishahara ya serikali kwa siku moja, magazeti yote yameandika, mshahara wachelewa...., ingekuwa zama zile isingetokea, sasa niliposikia hapa leo kwamba hamlipwi, hamna mikataba na mmenyamaza kimyaa...hamsemi nikasema kweli mfinyanzi anakula kwenye magai poleni ndugu zangu..., mngeamua kusema mabosi wangestuka wangekulipeni"--Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan - Rais wa Tanzania.

Chanzo: itvtz

Kuna media moja ipo Jirani na Wavaa Gwanda sasa wana Mwaka na Nusu hawajalipwa ila wala hawajiandiki / hawajitangazi.
 
Sasa hivi media aziwezi kulipa wafanya kazi kabsa ata aongee nani,media zote zinapitia wakati mgumu mitandao ya kijamii ndio sehemu nzuri ya biashara
 
Sasa hivi media aziwezi kulipa wafanya kazi kabsa ata aongee nani,media zote zinapitia wakati mgumu mitandao ya kijamii ndio sehemu nzuri ya biashara
Swali la Msigi la Mheshimiwa Rais ni kwamba kwanini sasa huwa hawajiandiki matatizo yao na wanakimbilia ya Wengine?
 
Back
Top Bottom