GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Waandishi wa habari wapo kimaslahi zaidi wote ni MACHAWAHuu ndo wakati sahihi akina AYO media kupiga hela....
Sasa hivi tv hazina mvuto kabisa..
Kabisa, content za sasa zimejaa pumba na kiki za kipuuzi..Waandishi wa habari wapo kimaslahi zaidi wote ni MACHAWA
Swali la Msigi la Mheshimiwa Rais ni kwamba kwanini sasa huwa hawajiandiki matatizo yao na wanakimbilia ya Wengine?Sasa hivi media aziwezi kulipa wafanya kazi kabsa ata aongee nani,media zote zinapitia wakati mgumu mitandao ya kijamii ndio sehemu nzuri ya biashara
Nafurahi sana tu Wakitaabika kwani ni Wanafiki, Wazandiki na Wasaliti wakubwa na wangefuata Uweledi wangeheshimika.Magazeti yapo dhofu bin taabani...