Safiri na treni ya Deluxe msimu huu wa sikukuu

Safiri na treni ya Deluxe msimu huu wa sikukuu

Tanzania Railways Corp

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
251
Reaction score
595
Deluxe 4.jpg
Deluxe 3.jpg
Deluxe 1.jpg
Deluxe 2.jpg
 
kuna clip flani inasambaa ya mzungu mtalii anaongelea kuhusu usafiri wa treni TZ first class ila ndani kubaya hio mliopost iko tofauti.
 
Ongezeeni kwenye Uzi gharama za safari Kulingana na madaraja ayo
Safari za wapi na wapi
Mda wa safari au siku

Website yenu haionyeshi Ivo vitu
Ni kweli muwe wa Wazi, 1. Kitendo cha kuonesha bei kuna mvutia mteja. 1.1 Pia kitendo cha kuonesha bei ni promosheni tosha. 2. Kitendo cha kuonesha bei kinapunguza mteja kulaghaiwa. 2. 1 Kitendo cha kuonesha bei kinapunguza vishoka.
 
kuna clip flani inasambaa ya mzungu mtalii anaongelea kuhusu usafiri wa treni TZ first class ila ndani kubaya hio mliopost iko tofauti.
Wamepost picha za wakati ilipowasili (mpya) hawawezi kupost latest images sababu tutaanza kuwananga.

Alafu hawa jamaa wanatatizo moja tiketi za kukaa zikiisha wanaruhusu kuuza za kusimama ndani ya treni, kitu ambacho huwa ni tatizo kwa safari za treni miaka nenda rudi.
 
Back
Top Bottom