Safiri na treni ya Deluxe msimu huu wa sikukuu

Safiri na treni ya Deluxe msimu huu wa sikukuu

Wamepost picha za wakati ilipowasili (mpya) hawawezi kupost latest images sababu tutaanza kuwananga.

Alafu hawa jamaa wanatatizo moja tiketi za kukaa zikiisha wanaruhusu kuuza za kusimama ndani ya treni, kitu ambacho huwa ni tatizo kwa safari za treni miaka nenda rudi.
mhh kazi ipo. hii inawaharibia sana.
 
mhh kazi ipo. hii inawaharibia sana.
Nimefanya kujua siku najaribu kutumia gogo to Moshi.

Nikiwa pale gerezani kukata tiketi nilikuta abilia wengi sana nilipomuuliza mmoja mbona wamekaa na hawapandi treni, ndipo akanijibu wanasubiri kukata tiketi endapo wataongeza behewa.

Nikiwa nakaribia kupewa tiketi gafla nikasikia sauti "wanaotaka tiketi za kusimama" yaani watu walikurupuka kukimbilia dirishani si wachache kuliko wanaokaa kwa behewa moja.
 
Kama ww Ni afisa habari wa TRC kiukwel Kama utakuwa ofcn Ni kwa kudra tu za Mungu, hv hata ww kwel unaona tangazo limekamilika?? Umeonesha picha tu ambazo pia hatuna uhakika Kama Ni currently, hujaonesha roots, hujaonesha destinations, hujaonesha costs, hujaonesha time departing, hujaonesha station starting, hujaonesha uwiano wa safari...

Yaan Kama kwel u mwajiriwa na upo ofcn au Ni afisa habar wa hyo kampuni, na unakibali Cha kulitoa hlo tangazo, asee umepungua kwa 8/10..

Lifute uliandike upya kwa kuomba radhi...
 
Online booking haifanyi kazi...kwani hao IT wanalipwa mishahara ya bure...bongo kila wasomi ni takataka.


#MaendeleoHayanaChama
 
Ile sio Deluxe. Ni ile ya kajamba nani
Ndiyo hiyo hiyo , hizo picha ni za zamani, kipindi imeletwa, kwa sasa hivi haina jipya.
 
Mruhusu kule baa wauze mwanzo wa safari Hadi mwisho wa safari Mambo ikifika saa sita mnafunga mnazingua ndomana wengine tumeacha kupanda Hilo tunaungaunga kuanzia bunju tunakula bia tunaenda mpaka bagamoyo au msata tunakula bia tunapanda tena Hadi mombo tunakula bia tunamalizia njia panda himo baada ya hapo kituo kimeisha
 
Back
Top Bottom