mhh kazi ipo. hii inawaharibia sana.Wamepost picha za wakati ilipowasili (mpya) hawawezi kupost latest images sababu tutaanza kuwananga.
Alafu hawa jamaa wanatatizo moja tiketi za kukaa zikiisha wanaruhusu kuuza za kusimama ndani ya treni, kitu ambacho huwa ni tatizo kwa safari za treni miaka nenda rudi.
Mbona hutaji destination na gharama zake. Kwani train inafika Mwanza kwa sasa? Mbona hakuna First class na vyoo hujatuonyesha.
Mkuu mbona unatutukana. Tigo tena?Heri yenu nyie kuliko Tigo kwani mnaficha siri ya nauli, mwanzo na mwisho wa safari, muda wa safari na siku za safari.
Nimefanya kujua siku najaribu kutumia gogo to Moshi.mhh kazi ipo. hii inawaharibia sana.
Ukweli angestahili kuusema mleta mada Tanzania Railways Corp , lakini ajabu wakishaweka thread huwa wanatokomea..hawajibu maswali ya wadau.sio kwelii mkuu
Kama ww Ni afisa habari wa TRC kiukwel Kama utakuwa ofcn Ni kwa kudra tu za Mungu, hv hata ww kwel unaona tangazo limekamilika?? Umeonesha picha tu ambazo pia hatuna uhakika Kama Ni currently, hujaonesha roots, hujaonesha destinations, hujaonesha costs, hujaonesha time departing, hujaonesha station starting, hujaonesha uwiano wa safari...
Tena yule tapeli wa kuunganisha mabando ila utume hela kwanzaMleta mada amekuwa kama Tapeli
Ndiyo hiyo hiyo , hizo picha ni za zamani, kipindi imeletwa, kwa sasa hivi haina jipya.Ile sio Deluxe. Ni ile ya kajamba nani