Mkuu ni hawa hawa binadamu wa kawaida.WAKUU HIVI HAYA MAJENGO YAPO HAPA DUNIANI KWELI AU NI PICHA ZA KUTEGENEZWA TUU?
KAMA YAPO KWELI, NI WANADAMU WA KAWAIDA HAWAHAWA TULIOWAZOEA NA KUWAONA LIVE, NDO WAMEYATENGENEZA?
ISEJEKUWA DUNIA IMEINGILIWA NA VIUMBE WENGINE.
duh!! hawa ni wahuni kwelikweli.
mwingine atakuambia hao ni freemason, mwingine utaskia wachawi hao, mara mwingine tena eliens hao, kumbe wakati ninyi mnawaza mapenzi na kuwangiana, wenzenu hawalali wanawaza na kubuni mateknolojia ya hatari.Hii nchi gani
Watu ni wabunifu aisee ukiona hivi ukilinganisha na yanayoendelea nchini unabaki unatikisa kichwa
Wataalam sana hawa wa kucheza na majiUholanzi
Ss uku kupanga vizur sehemu ya kuweka mataa na kuvukia kwa miguu bado ni mtihanubunifu wa hali ya juu
UholanziHii nchi gani
Watu ni wabunifu aisee ukiona hivi ukilinganisha na yanayoendelea nchini unabaki unatikisa kichwa