Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Mbona majina yale yale! Huko hakuna "grooming" kwa vijana!? Halafu, mnasema mnawasaka! Kwa hiyo hamna kanzidata ya wanachama wenu na sifa zao! Mnapuyanga tu! Basi kweli kwisha habari yenu.Wapo wengi tuu kina Devotha Minja, Suzan Kiwanga, Catherine Ruge, Upendo Peneza na wengi wengi tuu waioiva
Uongozi si majaribio ni muhimu kupata watu waioiva haswa siasa za wamu hii ya tanoMbona majina yale yale! Huko hakuna "grooming" kwa vijana!?
Itakuwa wewe ni mmoja wa wale aliowanyima.Hilda Newton wasimsahau, Kagawa sawa penzi jamai wamuonee huruma
Vipi Mkuchika na LukuviMbona majina yale yale! Huko hakuna "grooming" kwa vijana!? Halafu, mnasema mnawasaka! Kwa hiyo hamna kanzidata ya wanachama wenu na sifa zao! Mnapuyanga tu! Basi kweli kwisha habari yenu.
Hao ndio wanatoka vyuoni? Mbona mnatuletea masikhara?Wapo wengi tuu kina Devotha Minja, Suzan Kiwanga, Catherine Ruge, Upendo Peneza na wengi wengi tuu waioiva
Kwani hao walitoka wapiMbona majina yale yale! Huko hakuna "grooming" kwa vijana!? Halafu, mnasema mnawasaka! Kwa hiyo hamna kanzidata ya wanachama wenu na sifa zao! Mnapuyanga tu! Basi kweli kwisha habari yenu.
Unataka 100% watoke vyuoni?Hao ndio wanatoka vyuoni? Mbona mnatuletea masikhara?
Wewe mbona umegawa sana uroda kwa Chakubanga lakini upo upo tu?Hilda Newton wasimsahau, Kagawa sawa penzi jamai wamuonee huruma
Kama ulivyomoa Mbowe penzi, ndivyo na wenzio watatoa, au unataka ww ndo uliwe tu, acha wivu we bibiRushwa ya Ngono hapa ni lazima ichunguzwe,,,Mbowe hajawai kutoa nafasi bure...kamwe.