Safu mpya BAWACHA mbioni kufahamika

Upuuzi gani huu, yaani kama mnamakachero makini, mbona mlishindwa uchaguzi kirahisi hivi? Mbona mliweka wagombea wa hovyohovyo?
 
CHADEMA hamtokaa muwe timu moja - CCM ishawaharibu madishi yenu - kwanza hata hao 19 ilikuwa ni hutumia tu
 
CHADEMA hamutokaa muwe timu moja - CCM ishawaharibu madishi yenu - kwanza hata hao 19 ilikuwa ni hutumia tu
Ndugu,
Kwa umri wako ulivyo mdogo, uchawi haukufai utakutesa tu.
Unaonaje ungewaachia kwanza wahenga akina Mzee Wasira.
WAKTI ukifika, kwa bidii mnayoonyesha, wewe na Heri James mtakujarithishwa tu.
 
Jaza nafasi , vibaraka hawana nafasi waende kwa Zitto na , Maalim Seif wakajiunge huko .
 
Ndugu,
Kwa umri wako ulivyo mdogo, uchawi haukufai utakutesa tu.
Unaonaje ungewaachia kwanza wahenga akina Mzee Wasira.
WAKTI ukifika, kwa bidii mnayoonyesha, wewe na Heri James mtakujarithishwa tu.
CHADEMA huwa hamtaki kuambiwa ukweli
 
Jumhia=Jumuia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…