Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Upuuzi gani huu, yaani kama mnamakachero makini, mbona mlishindwa uchaguzi kirahisi hivi? Mbona mliweka wagombea wa hovyohovyo?Chadema ipo mbioni kuziba nafasi za viongozi wa jumhia mbalimbali ikiwemo ya wanawake ambazo zipo wazi baada ya viongozi kuvuliwa uanachama. Mchakato wa kupata watu wa kuziba nafasi hizo unaendelea huku baadhi ya wanavyuo wakielezwa kupewa nafasi kwa lengo lakutengeza viongozi wapya. Timu ya makachero imeshaingia kazini kusaka watu wenye ueledi na wasio na doa la rushwa Wala tuhuma za jinai.....tutegemee akina Halima wapya kuzaliwa soon. Mapambano yanaendelea
Rushwa ya Ngono hapa ni lazima ichunguzwe,,,Mbowe hajawai kutoa nafasi bure...kamwe.
Wewe mbona umegawa sana uroda kwa Chakubanga lakini upo upo tu?
Kama ulivyomoa Mbowe penzi, ndivyo na wenzio watatoa, au unataka ww ndo uliwe tu, acha wivu we bibi
Ametumika mpaka anatia huruma jamani....Hilda Newton wasimsahau, Kagawa sawa penzi jamai wamuonee huruma
Ndugu,CHADEMA hamutokaa muwe timu moja - CCM ishawaharibu madishi yenu - kwanza hata hao 19 ilikuwa ni hutumia tu
CHADEMA huwa hamtaki kuambiwa ukweliNdugu,
Kwa umri wako ulivyo mdogo, uchawi haukufai utakutesa tu.
Unaonaje ungewaachia kwanza wahenga akina Mzee Wasira.
WAKTI ukifika, kwa bidii mnayoonyesha, wewe na Heri James mtakujarithishwa tu.
So hata wewe ushawahi kumpaga?Rushwa ya Ngono hapa ni lazima ichunguzwe,,,Mbowe hajawai kutoa nafasi bure...kamwe.
Jumhia=JumuiaChadema ipo mbioni kuziba nafasi za viongozi wa jumhia mbalimbali ikiwemo ya wanawake ambazo zipo wazi baada ya viongozi kuvuliwa uanachama. Mchakato wa kupata watu wa kuziba nafasi hizo unaendelea huku baadhi ya wanavyuo wakielezwa kupewa nafasi kwa lengo lakutengeza viongozi wapya. Timu ya makachero imeshaingia kazini kusaka watu wenye ueledi na wasio na doa la rushwa Wala tuhuma za jinai.....tutegemee akina Halima wapya kuzaliwa soon. Mapambano yanaendelea