mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Hapo awali ilikulikana Kama DTB fc saivi ni Singida Fc itakayoshiriki ligi daraja la kwanza(championship) msimu wa 2021/2022 imekamilisha usajili wa nyota wakubwa ikiwemo.
Amis Tambwe
David Mwantiaka
Tafazwa kutinyu
Shafiq Batambuzi
Juma Abdul
Nk
Tujiandae kuwaona Vpl mwakani??
Je wataweza kusurvive na mpunga wao?
View attachment 1897918View attachment 1897920
Amis Tambwe
David Mwantiaka
Tafazwa kutinyu
Shafiq Batambuzi
Juma Abdul
Nk
Tujiandae kuwaona Vpl mwakani??
Je wataweza kusurvive na mpunga wao?
View attachment 1897918View attachment 1897920