Sahihi kwa Askari kukagua Gari likiwa gereji?

Sahihi kwa Askari kukagua Gari likiwa gereji?

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,053
Reaction score
3,259
Hawa jamaa Askari wa usalama barabarani sasa wamehamia Gereji kabisa wanakagua madeni ya magari imekuwa kero kwa mafundi ni kwa vile tu hawana pakusema, wakikuta linadaiwa wanakomaa na fundi muhusika anauelitengeneza.

Kwakweli nimewashuhudia Gereji mara nyingi sana na mafundi wamekuwa wakilalamika sana, sasa sielewi usahihi wa wao kufanya hili.
 
1. Dawa ya deni kulipa

2. Hao ni askari wa usalama barabarani sio usalama Garage

3. Tuzingatie sheria na Taratibu, ushikwapo barabarani kalipe.
 
1. Dawa ya deni kulipa

2. Hao ni askari wa usalama barabarani sio usalama Garage

3. Tuzingatie sheria na Taratibu ushikwapo barabarani kalipe.
Shida ni Askari Usalama Bararani kugeuzwa Wakusanya Mapato wa serikali, sasa dhana nzima ya Elimu ya Usalama barabarani inakufa, inakuwa Adhabu Za Brabarani na kupangiwa budget ya makusanyo ya mwezi. Hii nchi sijui ilikuwa inapelekwa wapi.
 
Shida ni Askari Usalama Bararani kugeuzwa Wakusanya Mapato wa serikali, sasa dhana nzima ya Elimu ya Usalama barabarani inakufa, inakuwa Adhabu Za Brabarani na kupangiwa budget ya makusanyo ya mwezi. Hii nchi sijui ilikuwa inapelekwa wapi.
Mwendazake...
 
Shida ni Askari Usalama Bararani kugeuzwa Wakusanya Mapato wa serikali, sasa dhana nzima ya Elimu ya Usalama barabarani inakufa, inakuwa Adhabu Za Brabarani na kupangiwa budget ya makusanyo ya mwezi. Hii nchi sijui ilikuwa inapelekwa wapi.
Na hii inasababishwa na mjinga mmoja au wawili wataka sifa hawajui majukumu yao, pamoja na kuchunguza mfumo wa ajira za TAMISEMI, ndugu yai alipaswa kuzungumzia kero zinazotokana na hawa traffic, wamekuwa waporaji si wezi tena.
 
Kwa hiyo askari akijua gari inatatizo na mhusika akaipeleka kuificha garage ( kwa kigezo kwamba ipo garage) wajibu wa askari utaishia wapi? Yani asiikague kisa ipo garage?
 
Hahahaha, anakagua nini akati liko gerejei, na likiwa huko maana yake ni bovu, [emoji23][emoji23] , Aisee polisi njaa zitawamaliza.

Ila kitu nimekuja ona Maaskari wa Usalama road ni Matajiri sana.
 
Back
Top Bottom