Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Nimeona kwenye news kuwa serikali imefanya malipo ya ndege tano mpya. Dreamliner moja, boeing 737-9 mbili na Dash 8 q 400 moja. Malipo haya kwa haraka haraka yanakadiliwa kugharimu zaidi ya tril 1.8.
Kwa jinsi watanzania wanavyohangaika kupata huduma za afya ni bora pesa hizi zingewekezwa kwenye kubaoresha upatikanaji wa huduma za afya na vifaa tiaba kuliko kuongeza idadi ya ndege zisizo na tija kwa raia wa kawaida
Wachumi wa CCM wanatuangusha sana.
Kwa jinsi watanzania wanavyohangaika kupata huduma za afya ni bora pesa hizi zingewekezwa kwenye kubaoresha upatikanaji wa huduma za afya na vifaa tiaba kuliko kuongeza idadi ya ndege zisizo na tija kwa raia wa kawaida
Wachumi wa CCM wanatuangusha sana.