Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Zina umuhimu gani kwa raia wa kawaida?Ndege nazo ni muhimu!
Nakubaliana na weweMANUNUZI YA NDEGE NI KICHAKA CHA UPIGAJI MKUU, TUNAPIGWA SANA KUPITIA MANUNUZI HAYA HOLELA
Kwani raia wa kawaida hawapandi ndege?Zina umuhimu gani kwa raia wa kawaida?
Huwa wanapanda? Acha kukufuru.Kwani raia wa kawaida hawapandi ndege?
Wakati ananunua magufuli mlikuwa mkisifia sana. Akinunua Samia anakosea.Nimeona kwenye news kuwa serikali imefanya malipo ya ndege tano mpya. Dreamliner moja, boeing 737-9 mbili na Dash 8 q 400 moja. Malipo haya kwa haraka haraka yanakadiliwa kugharimu zaidi ya tril 1.8.
Kwa jinsi watanzania wanavyohangaika kupata huduma za afya ni bora pesa hizi zingewekezwa kwenye kubaoresha upatikanaji wa huduma za afya na vifaa tiaba kuliko kuongeza idadi ya ndege zisizo na tija kwa raia wa kawaida
Wachumi wa CcM wanatuangusha sana.
Zina umuhimu gani kwa raia wa kawaida?
Alinunua huku akiboresha huduma za afya. Umesahau vituo vya afya alivyojenga?Ungemuuliza hayo jiwe, umechelewa.
Alinunua kwa uwiano na maendeleo aliyoleta.Wakati ananunua magufuli mlikuwa mkisifia sana. Akinunua Samia anakosea.
Mkuu kabla sijajibu hii hoja yako naomba unifafanulie nini maana ya HUDUMA duni za afyaNimeona kwenye news kuwa serikali imefanya malipo ya ndege tano mpya. Dreamliner moja, boeing 737-9 mbili na Dash 8 q 400 moja. Malipo haya kwa haraka haraka yanakadiliwa kugharimu zaidi ya tril 1.8.
Kwa jinsi watanzania wanavyohangaika kupata huduma za afya ni bora pesa hizi zingewekezwa kwenye kubaoresha upatikanaji wa huduma za afya na vifaa tiaba kuliko kuongeza idadi ya ndege zisizo na tija kwa raia wa kawaida
Wachumi wa CcM wanatuangusha sana.
Nimeona kwenye news kuwa serikali imefanya malipo ya ndege tano mpya. Dreamliner moja, boeing 737-9 mbili na Dash 8 q 400 moja. Malipo haya kwa haraka haraka yanakadiliwa kugharimu zaidi ya tril 1.8.
Kwa jinsi watanzania wanavyohangaika kupata huduma za afya ni bora pesa hizi zingewekezwa kwenye kubaoresha upatikanaji wa huduma za afya na vifaa tiaba kuliko kuongeza idadi ya ndege zisizo na tija kwa raia wa kawaida
Wachumi wa CcM wanatuangusha sana.
Alipinunua yule mropokaji wa wanyonge mlishangilia sana Ila wengine ndio hazina umuhimu. Watu walijaa airport mpaka wakaingia kwenye runway na ikashangiliwa sana kisa waione ndege ya Meko. Kunya anye kuku akinya Bata kaharisha.
Ukikua utaona umuhimu!Zina umuhimu gani kwa raia wa kawaida?
Ukikua utaona umuhimu!
Rais wa awamu ya 6,Mama yetu tafadhali nunua ndege zifike 50 maana haiwezekaniki vinchi vidogo tulingane navyo idadi ya ndege kwny mashirika Yao ya ndege na Nashauri destination ziendelee kua hizo hizo 3 tulizonazo Wala tusiongeze nyingine maana sisi Ni donor country,we're doing this for fun.