Said Fella amejikuta akifichua nia ya January Makamba ya kugombea urais mwaka 2015,amemuhakikishia Salma Jabir kwamba 2015 kijana mwenzao watampa support,yeye (Salma) asubiri ataona.
hicho ndo yeye na wanyonyaji wa bongo flava wanachoombea, akiingia edo au magufuli itakuwa mbaya kwao
maana hawana story nao kama profesa wachina , wameichezea kweli ikulu utawala huu
hata davido alipafomu kwa nguvu ya ikulu