Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Utaratibu wa timu yoyote ile duniani ni kuchezesha wachezaji mahiri , hii ndio njia pekee ya kuzishinda timu zingine na kutwaa makombe .
Lakini hali ni tofauti katika nchi ya Tanzania , hapa wachezaji wazuri wanaochezea timu za mikoani hawapewi nafasi , bali wachezaji wabovu wanaocheza Simba , Yanga ama Azam ndio hupewa nafasi , kwa visingizio lukuki visivyo na kichwa wala miguu .
Hakuna sababu yoyote ile , hata ya kijinga ya Manula kuwa Golikipa namba moja wa Taifa Stars .
Lakini hali ni tofauti katika nchi ya Tanzania , hapa wachezaji wazuri wanaochezea timu za mikoani hawapewi nafasi , bali wachezaji wabovu wanaocheza Simba , Yanga ama Azam ndio hupewa nafasi , kwa visingizio lukuki visivyo na kichwa wala miguu .
Hakuna sababu yoyote ile , hata ya kijinga ya Manula kuwa Golikipa namba moja wa Taifa Stars .