Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,033
- 723
- Thread starter
-
- #21
CloudsFm na genge lao waharibifu sana huyu mama angekuwa mbali kama si mabaradhuli haya kumdhulumu.
Hata la huyu Mama Saida Kalori,clouds wanahusika?? Yeye si alikuwa chini ya Mzee Felician Muta?
Hivi yupo bado huyu mama?
Wewe ni msemaji wa familia?
Hata la huyu Mama Saida Kalori,clouds wanahusika?? Yeye si alikuwa chini ya Mzee Felician Muta?
Ipo siku ulikuja na taarifa za makahaba pale Kona bar, ulikuwa msemaji wao?
Can u prove that sababu mimi sikumbuki kuleta hiyo mada bwa mdogo
Can u prove that sababu mimi sikumbuki kuleta hiyo mada bwa mdogo
Huwa una tabia mbaya sana ya kuweka vipingamizi kwa vitu usivyovijua.
Real u cant remember,
but u did it!
afu tuheshimiane nani kakwambia mi bwa mdogo?
bwa mdogo mfuko wa nyuma!
Amini taarifa zangu!
Real u cant remember,
but u did it!
afu tuheshimiane nani kakwambia mi bwa mdogo?
bwa mdogo mfuko wa nyuma!