Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,033
- 723
- Thread starter
- #21
UPDATE
Taarifa ambazo nimepokea kutoka kwa Bw will ruta maarufu kama Will kiroyera ambaye ndiye mmiliki wa gari lililohusika na ajali na ambaye ni mmoja wa wahusika wa shoo hiyo amenieleza kwamba Saida karoli amepata majeraha kidogo na kwamba shoo ya Usiku itaendelea kama kawaida,ila papa kishaju bado huyo hospitali ya mkoa wa kagera kwa matibabu.
jioni njema
Taarifa ambazo nimepokea kutoka kwa Bw will ruta maarufu kama Will kiroyera ambaye ndiye mmiliki wa gari lililohusika na ajali na ambaye ni mmoja wa wahusika wa shoo hiyo amenieleza kwamba Saida karoli amepata majeraha kidogo na kwamba shoo ya Usiku itaendelea kama kawaida,ila papa kishaju bado huyo hospitali ya mkoa wa kagera kwa matibabu.
jioni njema