Achana naye huyo pimbi always mtata tu!!!
Hiki kigongo cha Kashura nakumbuka those days 2000 mwanzoni ndio nilikuwa naanza kazi yaani nilikuwa sichagui pa kulala kisa ku-save na kila nikienda BK nilikuwa nalala kuna hostel za KKKT ambazo zilikuwa affordable kwa wazee wa ku-save, kwa jinsi kigongo kilivyo kikali nilikuwa napanda kwa miguu maana enzi hizo bodaboda ndio ulikuwa usafiri wa watu wengi BK na ulikuwa bado haujasambaa sehemu zingine nchini zaidi ya Bukoba, ilikuwa wakikudondosha wanasepa
Pole sana Saia Kalori.
Warudi kumpa utukufu Mungu kwa kumwimbia Haleluya haleluya!
Pole yao pia....!
Pole kwao. Nini chanzo cha ajali?
Huyo ndio mtoto wa mkuu auPole ya maneno tu? Vipi angekuwa Agnes Masogange a.k.a Punda wa sembe yako, ungetoka baru kwenda kumcheki.
Huyo ndio mtoto wa mkuu au
Pole ya maneno tu? Vipi angekuwa Agnes Masogange a.k.a Punda wa sembe yako, ungetoka baru kwenda kumcheki.
Pole sana Saia Kalori.
Vyote mkuu!!!!!Kiuhai au kimziki mkuu.?
Hata sijajua aliko manake ni kimya sana siku hizi. Au ameacha "kuchenkura?"Ulidhani kaenda wapi mkuu?
Umetoka lini jela?