Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,654
- 8,564
Baada ya Diamond kufanya marejeo ya wimbo wa Salome wa Dada Saida kalori.Uongozi wa Diamond uliamua kumlipa meneja wa Saida kalori kiasi cha shilingi milioni 25 huku Dada Saida kalori akiambulia pesa kiduchu sana,Dada Saida karoli anajiandaa kupeleka kesi mahakamani dhidi ya unyonyaji wa meneja wake
source:MWANANCHI
source:MWANANCHI