Saida Karoli: Najihisi kuzaliwa upya

ulikuwa wapi siku zote usiseme haya mpaka diamond akamuibua? Diamond ameshamrudisha kinachotakiwa ni saida mwenyewe kujipanga sasa
 
ulikuwa wapi siku zote usiseme haya mpaka diamond akamuibua? Diamond ameshamrudisha kinachotakiwa ni saida mwenyewe kujipanga sasa

Majibu yako yanaonyesha uelewa wako katika masuala ya Music Industry ni dismal kabisa, unasumbuliwa na inbuilt arrogance ndiyo maana unazungumza chochote kinacho kujia kichwani!!

Unapo sema nilikuwa wapi siku zote una maana gani? Soma maoni yangu ya ziada kuhusu mada hii, may be narudia "may be" hilo litakusaidia kuheshimu bibadamu wenzako na kujifunza kutumia lugha ya staha hata kama ukubaliani na maoni yao.
 
alipotelea wapi baada ya laana aliyoipata ya kumpiga chini mume wake kipenzi wa kijijini baada ya kupata mafanikio? hapo ndio huwa nawavulia kofia wanawake. muta amemfikisha wapi sasa, sijamsikia kitambo huyo dada.
 
alipotelea wapi baada ya laana aliyoipata ya kumpiga chini mume wake kipenzi wa kijijini baada ya kupata mafanikio? hapo ndio huwa nawavulia kofia wanawake. muta amemfikisha wapi sasa, sijamsikia kitambo huyo dada.
Acha urongo mumewe ndio alianza kumpiga chini akaondoka na mnenguaji wa kike na yeye akaona isiwe tabu akabeba mcheza shoo wa kiume. Pia naona kuna watu wana wivu saana alivyoibuliwa na kijana kama umefuatilia matukio ya huyu kijana maarufu anaona fahari sana kuwa na wanamuziki wazuri kama yeye kutoka Tanzania na si mbinafsi mfano mzuri ni hiyo wasafi.
 
Nasikia clouds ndo waliomtapeli but am not sure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…