Saidi Mtanda huwa hapendi kufuata utaratibu, alishawahi kuja ofisini kwetu akapaki sehemu ya mkurugenzi wakati alikuja kama mteja

Ana kiburi na ujeuri sana! Hata alivyoenda kama mteja Kwa jamaa anaelalamika kuwa alipaki sehemu ya Mkurugenzi wa kampuni, angepaki TU kawaida halafu akiondoka watu watasema mkuu wa Mkoa ni mstaarabu! Ila Lina madharau ya kijinga sana na ubabe wa hovyo sana!
 
Si tulipendekeza hivi vyeo vifutwe
Havina umuhimu
 
Huu muda wa kumpiga majungu mwanaume mwenzio ungetumia kumtumia baba yako pesa huko kijijini ili aache kula michembe
Huu muda wa kucomment kwenye uzi wa majungu aka kupiga umbea, ungeutumia pia kutuma pesa kwa baba ako huko kijijini aache kula michembe pia...au wewe umeishatuma ndo maana unapiga majungu humu?.
 
Hivi unajua Mkuu wa Mkoa ni nani katika mkoa wake?
 
WEKA WI-FI ZA T¡G0 ZINA SPEED KUBWAA MNOO!
HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NAFUU SANA!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI
⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI
⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO DELIVERY NI FREEE!!

GHARAMA NI NAFUU, SPEED KUBWAA (pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa)
NICHEKI: 0717700921
 
Uyo ni mganga njaa
 
Tuna MaRC wapumbavu sana, Serikali ifikirie yafuatayo!​
Kwanza, RCs, DCs, ni vyeo ambavyo havina maana kabisa, vipo pale kisiasa.. tukihitaji uwajibikaji tuanze kwa kuondoa hivi vyeo, CCM isilinde failures wao kupitia hivi vyeo!​
Pili, ikibidi basi hivi vyeo viwe vya kushindaniwa na isiwe kwa CCM Failures pekee!​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…