Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea


Ulitaka upewe wewe ambaye huna historia yoyote ya kazi njema kwa taifa zaidi ya kujaribu kuligawa taifa kwa misingi ya kidini?
 

we endelea kupinga kwa kuanzisha thread ya pingamizi. Huoni kuwa unamuumiza aliyeanzisha hii thread inakuwa kama unafanya kusudi kuharibu mjadala. Pia tumia lugha ya kiungwana, si vizuri kutumia maneno machafu pasipo na ulazima wowote.
 
Naomba please spare my topic .Naomba sana sana tumchangie Kubenea .Haya ya mengine wekeni mada mpya .Mwafrika Mwanamke learn to ignore .Unarefusha habari pasipo sababu .Huyu kesha onekana shida .Naomba tuendelee na michango na hil tuliache tafadhali linaondoa maana ta bandiko hili .
 

Sasa kama unamjua na unajua alikuwa London kwanini humtaji kwa jina tumjue? una agenda gani?au unamwogopa?
 

Sema wewe kaka.
kuna uongo hauna kichwa kama huuu.mimi naweza kuwa binti? ni sawa na mtu kuniambia kuwa Mwafrika wa kike ni Mwanamke, kweli kuna mwanamke anaweza kukesha hapa JF toka july hadi sasa akawa na michango elfu 4? na akawa anaishi marekani kama Mwanakijiji na akawa ana ufukurukutwa wa Chadema kama Mwanakijiji na akawa hana kazi kama Mwanakijiji.

wale wanawake vichwa wa Chadema walioko bungeni hatuwasikiii bungeni wanasinzia tu,ilikuwaje usipewe wewe Mwafrika wa kike hapa JF? Jee ni coincedence?

Mwafrika wa kike ana michango kuliko Mnyika, Zitto na Kitila, kweli kuna mwanamke atakuwa na courage ya kushinda kutwa nzima humu kutuma posts za kuisifia Chadema tu.

sawa na yule anayetumia jina la Asha Abdalla kujifanya anaishi Znz HUKU wakati wa uchaguzi Chadema walihangaika kutafuta mgombea kiasi cha kumchukua JUMBE ambaye ni marehemu sasa na anatoka Tanga hadi ukaja utata na ofisi ya msajili wa vyama. baada ya kufariki akaletwa Anna Komu na kuambiwa kuwa ni Mzanzibar.

Mwanakijiji utadanganya wachache na sasa wamekushtukia kwa kunizulia mimi ni mwanamke wa London. umefeli bwana Mashaka.
 
Sasa kama unamjua na unajua alikuwa London kwanini humtaji kwa jina tumjue? una agenda gani?au unamwogopa?
Haswaa basi anaogopa kunitaja mimi ataweza mafisadi? unaogopa Mwanamke bwana Mashaka(Mwanakijiji)?
 

Ipe heshima gender yako. Huku wengine tunakoishi wanawake wanapewa heshima sawa na wanaume!


Endelea kuheshimu gender yako. Kujiita mwanamme ili watu wasijue kilichokupata London baada ya chuki zako za kidini kujulikana sio suluhisho


Wewe si mwanamke wa London tena maana umeshatolewa huko na kurudishwa bongo kusubiria post nyingine - labda Irani!
 

Sijataka kuharibu mchango wenu, nimetoa ushauri kuwa Mwanakijiji hana historia ya uamini na hana shughuli ya kueleweka ya kumuingizia kipato. nikakupa option kuwa bora apewe Kitila kwanza anajulikana na ana shughuli ya kumpatia riziki yake.

unajua unapoweka pesa benki hakuna mizengwe sasa kwenye kuchukua unatakiwa uje na prove nyingi na jamaa(Mwanakijiji) anaishi kimachimbo machimbo.

Dua zake ziko kwa Obama akiingia atatoa vibali kwa waliokwama kama huyu mheshimiwa yeye hapa JF ndio chimbo lake.
 
Haswaa basi anaogopa kunitaja mimi ataweza mafisadi? unaogopa Mwanamke bwana Mashaka(Mwanakijiji)?

Wewe hata level ya ufisadi wa kutajwa hapa JF hujafikia. Ukitajwa hapa haitasemwa ID yako ya JF maana ni sheria za JF kutotaja majina ya Membaz.
 
Sijataka kuharibu mchango wenu, nimetoa ushauri kuwa Mwanakijiji hana historia ya uamini na hana shughuli ya kueleweka ya kumuingizia kipato. nikakupa option kuwa bora apewe Kitila kwanza anajulikana na ana shughuli ya kumpatia riziki yake.

Unajikomba komba kwa KItila sasa?


Wewe mchango wako wa kifisadi hata hautakiwi hapa. wana JF wanachangia kwa their best way na Kubenea atapata usaidizi hata kama ukijaribu kuharibu hii thread!
 

Mie siishi kwa hisia kama wewe.unakumbuka ulipiga simu BBC kwa ajili ya wanafunzi wa Ukraine uliulizwa swali gani na ukashindwa ukatoka mkuku? kama una redio na unashindwa kunijua kwa maandishi haya au una bifu na Mwanamke wa ubalozini ambaye hakukunyima visa ya UK lakini una hasira zae hiyo ni juu yako na bwana wako Mbowe.
naomba unipe jibu la BBC kama wewe mtu wa heshima kwenye jamii kwanini walikukataa?
 
Unajikomba komba kwa KItila sasa?



Wewe mchango wako wa kifisadi hata hautakiwi hapa. wana JF wanachangia kwa their best way na Kubenea atapata usaidizi hata kama ukijaribu kuharibu hii thread!

Kitila ni zezeta kama wewe,ndio maana anasoma masomo ya kike.sasa sijui chadema mnabiashara gani na uke uke?kweli wazima nyinyi au MBOWE kawaharibu mmekuwa si riziki na kila mtu mnamuona mwanamke anawaharibia biashara yenu. kasome ushauri wangu haya hayakusaidii kitu.
 


We mama unamu admire mzee mwanakijiji?basi mpe PM mzee mwanakijiji something fishy here umekataa nini huyu mama mbona kila post mwanakijiji mwanakijiji inakuwaje mzee mzima?hebu tupe hint.

Alieuliza kuhusu kutuma pesa haina neno kutuma direct mnamuogopa nani? nyie tutawapa swift code hapa JF kisha mtadeposit huko huko hata msipotaja majina yenu halali au watumieni watu wennye majina ya kikimbizi huko.
 
Wewe hata level ya ufisadi wa kutajwa hapa JF hujafikia. Ukitajwa hapa haitasemwa ID yako ya JF maana ni sheria za JF kutotaja majina ya Membaz.
Unajichanga kama MBOWE YUKO MGONGONI KWAKO.mara useme niko ubalozini nikisema taja unadengua. samahani mie nimeumbika sana kiume, usije kulia.kamdengulie Mbowe anayekuMUVUZISHA.
 

nimekwambia kuwa matusi yako hayakusaidii wewe wala unayemfanyia kazi hapa. Utapata "kazi" nyingine karibuni ukitulia kidogo na kutoingilia kazi za JF kama hii ya kutafuta michango kwa KUbenea
 

Kwa mara nyingine tena naomba jamani anzisheni mada yenu ya kupeana habari zenu iacheni mada yangu na Kubenea.I am here for Kubenea na Mwana Halisi .Chinganakundi lako please heshima .Mnaweza kuanzisha mada yenu na mkaendelea kwa wakati mkaacha hii mada ya Kubenea.
 
Unajichanga kama MBOWE YUKO MGONGONI KWAKO.mara useme niko ubalozini nikisema taja unadengua. samahani mie nimeumbika sana kiume, usije kulia.kamdengulie Mbowe anayekuMUVUZISHA.

Matusi na lugha chafu havikusaidii mama. Jaribu kuishi na watu wa dini zingine labda utapata "kazi" ubalozi wa IRani au kwingine utakakopangiwa.
 

Chuki na hasira havitakupatia kazi yako back!

London hutarudi maana huko watu wenye chuki dhidi ya wakristo kama wewe hawana nafasi.
 
We mama unamu admire mzee mwanakijiji?basi mpe PM mzee mwanakijiji something fishy here umekataa nini huyu mama mbona kila post mwanakijiji mwanakijiji inakuwaje mzee mzima?hebu tupe hint.

Tatizo lake anadhani kuwa akipick a fight na mwanakijiji kumuita majina yote haya ndipo atapata nafasi ya kurudishiwa "kazi" yake au atamzuia mkjj kufanya kazi zake za kuwapigania watanzania.

Alieuliza kuhusu kutuma pesa haina neno kutuma direct mnamuogopa nani? nyie tutawapa swift code hapa JF kisha mtadeposit huko huko hata msipotaja majina yenu halali au watumieni watu wennye majina ya kikimbizi huko.

Atajua hili? yeye hata hajui gharama za maisha za marekani ni kiasi gani je atajua mengine hayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…