Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea

Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea

Ndiyo maana nimesema mimi Lunyungu nitauza hata shati langu na viatu the nitaingia Mahakamani kusikiliza kesi nikiwa tumbo wazi kabisa na bia ya viatu .Vita ni vita unatumia silaha uliyo nayo kupambana.OK sasa GT na Rostma mmekaribishwa rasmi Mahahakani.

Siasa za majitaka ambazo ndiyo nguvu ya mtandao sasa zinataka kuvuka mipaka ? No amesema mkutane Mahakamani mpo hapo ?
 
Hebu nisaidieni kwanza ninini maana ya jf lakini pia nimusaidie bwana LUNYUNGU aendelee tu kuheshimu mawazo ya wengine maana mr Chinga alichokisema ni kwamaba mwana kijiji amekuwa akiishi huko uaghabuni bila kibali kama ni kweli basi kwa mwanakijiji hiyo ni changa moto kwake afuate taratibu za kuishi huko na wala hilo halikuwa tusi nina imani kutokana na busara zake mzee wa kijiji hilo atalifanyia kazi
 
Chinga kaonewa sana. suala la udini halipo. kwani kubenea ni muislam na Zitto mwenye gazeti ni muislam.
hakuna vita ya ukristo,labda mnataka kupeleka hisia zetu kwenye udini.
Chinga anamkosoa Kubenea na Zitto kama anawachukia wakristu asingewalaumu kwa kuchangisha.
 
Back
Top Bottom