Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea

Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea

walipita wote hao na jee magazeti hayo yalichangiwa?

na tukishakuchanga na Rostam akifuta kesi jee? pesa yetu itakwenda wapi?

Wewe hutachangia kwa hiyo pesa yako itakwenda kwenye defense fund ya Rostam Azizi.

Kwa watakaochangia mwanahalisi, pesa yao itakwenda kuwalipa walinzi wa sero atakayowekwa huyo mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata -Rostam Azizi - pale ukongo

tunaomba kwanza kesi ifike inapofika, kisha mwanahalisi aje hapa atueleze shida yake kama anayo, kama hana shida yoyote, sijaona sababu bado ya kuchangia BLINDLY mwanahalisi.

Wewe usichangie mkuu!

wao ni wafanya biashara, na wamefuja kwenye biashara yao, i am sure wana means ya ku deal na suala hili, watakapojua hawana means, wataleta tatizo lao hapa na tutajadili cha kufanya

Mwanahalisi hawajaleta ombi lao hapa kuomba msaada lakini hata kama wangeleta hapa ningechangia ili wampe hell huyo mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata anayekwiba mabilioni ya pesa za watanzania na kuacha watoto wadogo na mama wajawazito bila msaada au dawa hospitalini.
 
ama kwa makusudia mazima hutaki kuwaelewa wanaoulizia kuhusu hili, au umeshindwa kutufahamu tunaoulizia sababu ya kuchangia mwanahalisi.

sababu nilizoziona ni "tunalipenda" , "it did what JK didnt" and the like...

hizo kweli ni sababu za kupitisha mchango kweli?

tunawafundisha nini waandishi wa habari wa mwanahalisi na wengine wanaoandika habari bila ya kuwa na ushahidi?
 
Heshima mbele,
Mie Nashangaa watu wameaza kutambiaa badala ya kujibu Hoja iliyotolewa na Lunyugu,Naomba kuungana na allegetion zote zinazotolewa na GT hapo juu,cha msingi Kesi ismwe kwanza mahakamani na tutaangalia niin cha kufanya kuhusu hili.

mie nafikiri suala la busara litatumika kaika hili,tusubuirir tuone..tusiwe wa kwanaz akuanza kuchangia wakati suala liko ndio jikoni,

Tulishindwa kumuunga Mkono Mwanakijiji katika Kampeni za maalbino,iwe leo??..baadaye tuanawalaumu wanafunzi wa mlimani kwa kushindwa kufanya jamba ambalo hapa Tumeshindwa.Tuwe tunaanzisha Michangao kwa Masuala megine yanayohusu maandeleo.

Rejea wakati Masha alipotaka kuwashitaki MWANAHALISI,Jk alimwambia aache tu kwa kuwa alijua ni changamoto katka siasa na lazima ukumbane nayo.

The same will happen to Rostam,Rostam anatingisah kiberiti ili watu wajue naye bado yuo but he will not go far as he kows what MWANAHILISI are doing.

Lunyungu na shy,mnaboa sana kwa kifupi,Kujibishana kama watu wasiojisheshima mnaivunjia heshima JF.


Gembe umesema yote vyema .Ila la mwisho la mimi na huy bwana mdogo nachofanya ni kukataa uongo wake .I am right here sijaondoka MwanaHalisi ofisi yeye amekuja na uongo .Do we need that hapa JF ? No.Pia mimi namkwamisha kuendeleza u snitch .Hapa ni koleo la chuma na kazi kazi .Otherwise mimi sina muda mchafu wa kujibishana ia natoa alert ama onyo kila nikiona uvundo na unaanza kusambaa .
 
Moderator should end this thread and help Lunyungu put a thread kule kwenye Matangazo.

Hili lilitakiwa liwe tangazo la kuomba msaada kwa niaba ya mwanahalisi na sio siasa.
After all tulikuwa nayo thread tayari inayosema, "Rostam Aishtaki Mwanahalisi".(http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12635.

Mod rekebisha hili ili tuendelee kujadiliana kuhusu msakabali wa taifa letu kuliko kusikiliza Mahakimu waliokwisha hukumu hii kesi humu ndani.

This is serious😕
...
"All i am doing here is asking some questions on how did it come to this in the first place. Whatever happened to objective journalism? But I suspect that the really interesting part would then come if you were to ask those at helm what their conscious intentions actually were, in terms of the effects they hoped to have on wider society. Would they aspire that young Tanzanains might be drawn to the educational, thought-provoking pages of the JAMBO FORUMS, in order to better their knowledge of current affairs, and give serious consideration to the major issues of the day; or would they instead prefer that this demographic should be driven more towards the completely xenophobic and thoroughly intolerant pages of Mwanahalisi?

What of earth would Freud make of it all? The conscious ambitions of the paper, and its true behaviour seem to be running in quite contrary directions! Perhaps less time spent at the sedate state of mind and more on the therapy couch might be required to tease out these awkward contradictions."
...

One can indeed condemn all newspapers for these faults. The point is not that no other newspapers are ever guilty of them, but the way the MWANAHALISI does it: as pointed out previously, it allegedly represents a politically correct p.o.v. but distorts the real debates to be had about the issues by cheap and nasty attacks which obscure the real questions.

The problem with the Mwanahalisi and its ilk is not that they "don't tell the correct truth in the correct way" but that they don't tell the truth at all. Or more precisely, nowhere near all of it. And they use the half-truths to stoke popular prejudice rather than inform. I don't think you could accuse any of the broadsheets of doing that to anywhere near the same degree.

And it's the degree which is important - no one pretends that any paper is 100% objective, but anyone intelligent can see that some make more effort than others to present more than one side of the argument.

GT: 29th April 2008
 

See this is the problem. Can you point out where i dissuade any JF member from supporting Mwanahalisi? All i am doing here is asking some questions on how did it come to this in the first place. Whatever happened to objective journalism?


Do you consider calling readers of mwanahalisi names - asking questions?

But I suspect that the really interesting part would then come if you were to ask those at helm what their conscious intentions actually were, in terms of the effects they hoped to have on wider society. Would they aspire that young Tanzanians might be drawn to the educational, thought-provoking pages of the JAMBO FORUMS, in order to better their knowledge of current affairs, and give serious consideration to the major issues of the day; or would they instead prefer that this demographic should be driven more towards the completely xenophobic and thoroughly intolerant pages of Mwanahalisi?

NOw this name calling qualifies as critical thinking on ya part!

What of earth would Freud make of it all? The conscious ambitions of the paper, and its true behaviour seem to be running in quite contrary directions! Perhaps less time spent at the sedate state of mind and more on the therapy couch might be required to tease out these awkward contradictions.

The same standards apply to your questionable arguments (rants)! and uncalled for hate against Mwanahalisi readers (and now turned supporters)





Wow...can you slow down abit, looks like you are jumping the bandwagon of those who want to judge me without reading my posts properly,I dislike exaggeration and doom-mongering by all newspapers, particularly the so-called serious ones who should know better, and find the tabloidisation of the broadsheet press a highly unfortunate phenomenon, yes.


Same rants - GT style


I have never suggested that the ,GUARDIAN et al are not guilty of scare-mongering or pandering to their readers' prejudices, particularly in the opinion pieces: however, their coverage of straight news (as in "X said today that "...") is still, by and large, more or less fact-based, balanced and relatively restrained, something which cannot be said of any of the tabloids such as MWANAHALISI.

Your posts define your better than what you are trying to prove

One can indeed condemn all newspapers for these faults. The point is not that no other newspapers are ever guilty of them, but the way the MWANAHALISI does it: as pointed out previously, it allegedly represents a politically correct p.o.v. but distorts the real debates to be had about the issues by cheap and nasty attacks which obscure the real questions.

The problem with the Mwanahalisi and its ilk is not that they "don't tell the correct truth in the correct way" but that they don't tell the truth at all. Or more precisely, nowhere near all of it. And they use the half-truths to stoke popular prejudice rather than inform. I don't think you could accuse any of the broadsheets of doing that to anywhere near the same degree.

Coz that is who you real are! Thinking that you know better than everybody else! ... ohhh I forgot that you call your self a "critical thinker"


And it's the degree which is important - no one pretends that any paper is 100% objective, but anyone intelligent can see that some make more effort than others to present more than one side of the argument.

And that is so far what you have failed to demonstrate here

I agree with you on this point. Nuff said.




This is why KUBENEA and MWANAHALISI are in deep hot water with this pending case.

Mwanahalisi and KUbenea will just be fine!
 
ama kwa makusudia mazima hutaki kuwaelewa wanaoulizia kuhusu hili, au umeshindwa kutufahamu tunaoulizia sababu ya kuchangia mwanahalisi.

sababu nilizoziona ni "tunalipenda" , "it did what JK didnt" and the like...

hizo kweli ni sababu za kupitisha mchango kweli?

Ndio maana umeitwa mchango na sio kodi. Mchango maana yake ni kuwa unatolewa kwa hiari.

tunawafundisha nini waandishi wa habari wa mwanahalisi na wengine wanaoandika habari bila ya kuwa na ushahidi?

Mwanahalisi walikuwa ni gazeti pekee lilioandika list ya mafisadi mwaka jana baada ya magazeti mengine yote kuogopa vitisho vya chenge na kutoandika majina.

So far, mwanahalisi wamehakikishiwa na historia kuwa wanaandika habari zenye ushahidi maaana siku hadi siku mafisadi wote wanaumbuliwa day in night out!
 
Moderator should end this thread and help Lunyungu put a thread kule kwenye Matangazo.

Hili lilitakiwa liwe tangazo la kuomba msaada kwa niaba ya mwanahalisi na sio siasa.

Naona sasa unataka kwenda North Korea na kufungia hata thread!
 
Ndugu wa JF
It is not time to talk na kulumbana na mafisadi but time to act .Let us Act now .Mwanakijiji pokea minchango .Mafisadi wanataka kutumaliza .Wakimmaliza Kubenea wana hamia Tanzania Daima then JF .Na hapa watamtumia shy kutumaliza .Naomba tufanye kweli tafadhali .Nina suggest tuanze mfuko wa kumsaidia Kubenea na Mwana Halisi .Je wewe unasemaje ?

Lunnyungu ametoa wazo la kuchangia na kisha akaomba maoni ya members. watu wanaanza kutoa maoni yao kama mwanzisha mada alivyokusudia wengine hawataki maoni yatolewe! hii wapi na wapi?.

ndiyo maana wale wanotaka kuchangia kwa udi na uvumba wasiwakataze watu kutoa maoni yao. mada kama ilivyoanzishwa na mtoa mada imesisitiza wachangiaji kutoa maoni yao. sasa kama ni maoni ya kupinga, kusapoti, kuwanung'unikia mafisadi yote hewala!
 
Lunnyungu ametoa wazo la kuchangia na kisha akaomba maoni ya members. watu wanaanza kutoa maoni yao kama mwanzisha mada alivyokusudia wengine hawataki maoni yatolewe! hii wapi na wapi?.

Nani amekuzuia kutoa maoni au unataka kuanza kulialia hapa kama mtoto kama kawaida yako?

ndiyo maana wale wanotaka kuchangia kwa udi na uvumba wasiwakataze watu kutoa maoni yao. mada kama ilivyoanzishwa na mtoa mada imesisitiza wachangiaji kutoa maoni yao. sasa kama ni maoni ya kupinga, kusapoti, kuwanung'unikia mafisadi yote hewala!

Hakuna aliyekukataza kutoa maoni ila pia hulazimishwi kuchangia maana una uhuru pia wa kuchangia kwenye defense fund ya mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata Rostam Azizi
 
luyungu, mwanahalisi linaweza kuchangiwa iwapo watatufahamisha wanataka msaaada wa aina gani na kwa namna ipi.

si dhani kama hadi sasa wameshajua kuwa wana uhaba na pesa kiasi cha kuwa sisi tuchangie.

kinyume na hapo ndugu yangu kuchangia itakuwa tabu na siku za mbele utalalamika na kusema watu hawachangii ni midomo mitupu, kumbe uliwapoteza watu kwa kuwaambia wachangie bila ya kuwapa sababu thabiti za kuwafanya wafanye hivyo
 
luyungu, mwanahalisi linaweza kuchangiwa iwapo watatufahamisha wanataka msaaada wa aina gani na kwa namna ipi.

Mwanahalisi wanachangiwa hata sasa hivi kwa yote ambayo wamefanya for most of us here. Wewe endelea kuwasubiria hao mwanahalisi.

si dhani kama hadi sasa wameshajua kuwa wana uhaba na pesa kiasi cha kuwa sisi tuchangie.

Wawe na uhaba au bila uhaba, watachangiwa ili kumkamata huyu mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata Rostam Azizi maana JK na serikali yake wanamwogopa.

kinyume na hapo ndugu yangu kuchangia itakuwa tabu na siku za mbele utalalamika na kusema watu hawachangii ni midomo mitupu, kumbe uliwapoteza watu kwa kuwaambia wachangie bila ya kuwapa sababu thabiti za kuwafanya wafanye hivyo

Wewe unaweza usichangie tu ila mpaka sasa watu wengi tu wanaendelea kuchangia maana wanajua mwanahalisi wamepigania haki ya watanzania - wakati ambao magazeti mengi nyumbani yaliogopa!
 
LUNYUNGU:-
Hivi YONA MARO A.K.A SHY ni mwandishi wa habari??
Au unaungana naye kwa sababu ameandika hapo chini kama id yake??
If yes basi mi ningeomba kujua alisomea chuo gani huo uandishi wake maana kwa jinsi ninavyomjua mimi sijawahi kusikia wala kuona anasomea uhandishi wa habari never, once again mimi namjua huyu kinaga ubaga wala simuogopi kabsaaaaa...
Any way inawezekana kuna mambo mengi mnayoyajua nyinyi waheshimiwa ambayo mimi bado sijayafahamu juu yake.

Back to the threads.

Ni hoja nzuri sana na ninawatia moyo kama kitu hiki kitafikiwa kuafaka basi kitapata mafanikio makubwa sana na wale wenye wivu juu ya hili kama mzee CHINGA basi mjinyonge na tumeshazoea siku zote panapokuwa na mazuri washika pembe kama nyie lazima mjitokeze na kuleta maneno yahapa na pale...

CHINGA say hi to KADA MPINZANI.
 
Nani amekuzuia kutoa maoni au unataka kuanza kulialia hapa kama mtoto kama kawaida yako? Hakuna aliyekukataza kutoa maoni ila pia hulazimishwi kuchangia maana una uhuru pia wa kuchangia kwenye defense fund ya mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata Rostam Azizi

Huyu:

GT … I think you are wrong in trying to dissuade JF members from supporting MwanaHalisi's case

Mwafrika Wa Kike, umekubali kwamba wanaoswalisha pendekezo wananyamazishwa?
 
LUNYUNGU:-
Hivi YONA MARO A.K.A SHY ni mwandishi wa habari??
Au unaungana naye kwa sababu ameandika hapo chini kama id yake??
If yes basi mi ningeomba kujua alisomea chuo gani huo uandishi wake maana kwa jinsi ninavyomjua mimi sijawahi kusikia wala kuona anasomea uhandishi wa habari never, once again mimi namjua huyu kinaga ubaga wala simuogopi kabsaaaaa...
Any way inawezekana kuna mambo mengi mnayoyajua nyinyi waheshimiwa ambayo mimi bado sijayafahamu juu yake.

Back to the threads.

Ni hoja nzuri sana na ninawatia moyo kama kitu hiki kitafikiwa kuafaka basi kitapata mafanikio makubwa sana na wale wenye wivu juu ya hili kama mzee CHINGA basi mjinyonge na tumeshazoea siku zote panapokuwa na mazuri washika pembe kama nyie lazima mjitokeze na kuleta maneno yahapa na pale...

CHINGA say hi to KADA MPINZANI.

Waga nipe shukrani kwanza maana bandiko langu lime trigger mengi na watu mmeyaona .Tukisema tuchanhe sijui nili eleweka vipi .Nimehimiza michango in case basi tunalazimika .Wapambanaji huwa wana ungana mkono na si kungoja kuombwa kuunga mkono.Sisi na MwanaHalisi nia yetu ni moja ila uwanja wa mapambano tifauti.Ndiyo Kenya walipopata ile dhahma wana harakati wa Tanzania walienda kuwapa pole na hawakuombwa lolote.Nadhani tuangalie kwa mapana sana na si kuangalia kwa ukaribu .
 
Huyu:



Mwafrika Wa Kike, umekubali kwamba wanaoswalisha pendekezo wananyamazishwa?

Hii statement haijakuzuia kutoa maoni yako:

GT … I think you are wrong in trying to dissuade JF members from supporting MwanaHalisi's case

Ukiambiwa kuwa uko wrong (opinion) ni tofauti na ukizuiwa kutoa maoni yako (action)

Next .....
 
Mimi bado nalia na hili la kutoa mchango.Hadithi zinakuwa nyingi namnaacha maana halisi ya bandiko.Ikifika wakati wa kusaidia nawakumbusha kutoa ni moyo said Saed Kubenea expose majangili kwa uwazi do not be swayed .
 
Hii statement haijakuzuia kutoa maoni yako:

Ukiambiwa kuwa uko wrong (opinion) ni tofauti na ukizuiwa kutoa maoni yako (action) Next .....

Taratibu Mwafrika wa Kike. Sentensi yenyewe ni hii:

"GT … I think you are wrong in trying to dissuade JF members from supporting MwanaHalisi's case"


Amesema kitendo kilicho wrong ni 'trying to dissuade.' Hajasema dissuasion yenyewe ndio wrong. Kwa maneno mengine hajakosoa 'opinion' ya GT, bali amekosoa 'kujaribu kutoa opinion' kwa GT. Vitu viwili tofauti.

Naomba chukua tahadhari kubwa kabla hujajibu, maana ukinionyesha kwamba huelewi hiyo logic nitafedheheka vibaya mno.
 
Taratibu Mwafrika wa Kike. Sentensi yenyewe ni hii:

"GT … I think you are wrong in trying to dissuade JF members from supporting MwanaHalisi's case"


Amesema kitendo kilicho wrong ni 'trying to dissuade.' Hajasema dissuasion yenyewe ndio wrong. Kwa maneno mengine hajakosoa 'opinion' ya GT, bali amekosoa 'kujaribu kutoa opinion' kwa GT. Vitu viwili tofauti.

Alichofanya yeye ni kutoa opinion yake kama Kitila. Ni kweli ametoa opinion kwenye kitendo lakini alichofanya yeye ni kutoa maoni (opinion) yake kuhusu maneno au vitendo vya GT.

Hii ni tofauti na kutenda (action) au kuzuia watu (action) kutoa maoni kama wewe ulivyodai hapa.

Naomba chukua tahadhari kubwa kabla hujajibu, maana ukinionyesha kwamba huelewi hiyo logic nitafedheheka vibaya mno.

Natumaini hujafedheheka hapa kama ulivyotegemewa!

next .......
 
Back
Top Bottom