Elections 2010 Saidia Slaa Ashinde [SASA]

Elections 2010 Saidia Slaa Ashinde [SASA]

Bwana Mnyika ni Vyema mkawa na premium namba ya michango na muitangaze kwenye media at any cost watu wajue na waizoee. Watanzania kuunga foleni bank hiyo ni kero nyingine wasioipenda. kwa mfano Kuchangia ziara za Dr Slaa, tuma neo Slaa kwenda number 15xxx utakuwa umechangia kiasi cha 300. hiyo italeta mhamasiko na michango itakuwa mingi kuliko hiyo ya kwenda kuunga foleni CRDB na NMB.
 
Asanteni. Nami nitawaandikia ndugu zangu Dar wanipelekee mchango wangu kwenye hiyo akaunti wiki hii. Nitawaomba nao wachangie pia.

Kama CCM itaendelea kuchukua tena miaka 5 tutakwisha. Wametuchosha mno.

Tutasali vile vile kuomba Mungu amlinde Dr Slaa. Maadui wake ni watu wabaya sana.
 
Kwa sasa michango kwa ajili ya ziara za Dr Slaa inaweza kupitia kati ya akaunti zifuatazo wakati akaunti nyingine inafunguliwa:

Benki: CRDB, Akaunti Namba: 01J1080100600, Jina: CHADEMA M4C

Au

Benki: NMB, Akaunti Namba 2266600140, Jina: Chama Cha Demokrasia na Maendeleo

Ukiweka mchango tafadhali itaarifu ofisi kupitia info@chadema.or.tz

JJ

Ndugu yangu Mnyika sasa ule mpango wa kuchangia kwa SMS ya M-Pesa ndio inakuaje, hamuoni kuwa system ile ingerahisisha ukusanyaji wa pesa nyingi kutoka kwa watu wengi zaidi tena kwa urahisi zaidi (dezaini ya Obama campaign) na kwa muda mfupi, kuliko hii habari ya kutafuta tawi la benki?. Ni Wa-Tanzania wangapi wanakaa karibu na matawi ya NMB au Benki tu kwa ujumla? Nashauri na tuwe serious kama tunataka Dr Slaa ashinde, tuna Candidate mwenye potential kubwa sana.
 
Mpesa hapana, Vodacom wata-sabotage hiyo michango...............teh teh
 
Mnyika na Lwakatare tafadhalini sikia kilio cha watu wanataka kuchangia kwa M-Pesa system kwa sababu wengi huona usumbufu kupanga foleni benki, na wengi hasa vijijini hawako karibu na benki wengine hata kuingia ndani ya benki hawajawahi lakini wanataka kuchanga, Please.

Hata hivyo kwenda benki na kutoa sh. 300 ni kuongeza karaha kwa watumiaji wengine. Mnaonaje kufikiria mpango huo wa M-Pesa? Unawapunguzia wachangiaji usumbufu na matumizi ya muda wao pia, vile vile unawahakikishia Chadema kupata michango mingi zaidi.
 
Progress ya michango itangazwe hata mara moja kwa week hii itasaidia sana kuhamasisha wengine na tunaochangia kuchangia zaidi na zaidi!
 
Mnyika na Lwakatare tafadhalini sikia kilio cha watu wanataka kuchangia kwa M-Pesa system kwa sababu wengi huona usumbufu kupanga foleni benki, na wengi hasa vijijini hawako karibu na benki wengine hata kuingia ndani ya benki hawajawahi lakini wanataka kuchanga, Please.

Hata hivyo kwenda benki na kutoa sh. 300 ni kuongeza karaha kwa watumiaji wengine. Mnaonaje kufikiria mpango huo wa M-Pesa? Unawapunguzia wachangiaji usumbufu na matumizi ya muda wao pia, vile vile unawahakikishia Chadema kupata michango mingi zaidi.

Nadhani pia inawezekana kuchangia kwa kutuma muda wa maongezi. Hii ni rahisi kwani inaweza kufanyika popote. Kama inawezekan kwa Invisble kwa nini ishindikane kwa CHADEMA? Natumai watatujibu!
 
Back
Top Bottom