How?? [emoji23][emoji23][emoji23]Yajayo yanafurahisha mkuu..... don't u want to be a part of it????
Wamemlazimisha apige nae hataki magoli ya dizaini hiyo na ndio maana hakusikitika.Mbna mayelee alipaishaaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atajijua yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamemlazimisha apige nae hataki magoli ya dizaini hiyo na ndio maana hakusikitika.
MxxxxiiiieeeewJoin Yanga.....
Aaaah saido amekauka ......kichwa kama jiwe.....atatuulia mayeleSiku ya Leo ikiisha, bado hajafahamika mfungaji bora, itabidi bodi ya ligi ishirikiane na chama cha mieleka Tanzania, waandae mpambano kati ya Babu SAIDOO na predator FISTON makwega7 KALALA MAYELE.
Atakaemdondosha mwenzake ndie mshindi wa kiatu.
Au mnasemaje wadau?