Saido akwama, Simba wakwama ufungaji bora

Saido akwama, Simba wakwama ufungaji bora

FyW3JT-XwAA-IzA.jpg
 
Siku ya Leo ikiisha, bado hajafahamika mfungaji bora, itabidi bodi ya ligi ishirikiane na chama cha mieleka Tanzania, waandae mpambano kati ya Babu SAIDOO na predator FISTON makwega7 KALALA MAYELE.
Atakaemdondosha mwenzake ndie mshindi wa kiatu.
Au mnasemaje wadau?
 
Siku ya Leo ikiisha, bado hajafahamika mfungaji bora, itabidi bodi ya ligi ishirikiane na chama cha mieleka Tanzania, waandae mpambano kati ya Babu SAIDOO na predator FISTON makwega7 KALALA MAYELE.
Atakaemdondosha mwenzake ndie mshindi wa kiatu.
Au mnasemaje wadau?
Aaaah saido amekauka ......kichwa kama jiwe.....atatuulia mayele
 
Back
Top Bottom