Saido Ntibanzokiza tunasubiri tamko lako

Kwani ni siri?

Mchizi alikataa kupigwa chale za ulimi kwakua yeye dini yake haimruhusu

Kina mayele bado wana vidonda vibichi
Lakini si matokeo umeyaona! Maana lile kombora lingeweza hata kuleta matatizo ya kiafya kwa Kakolanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…