Tetesi: Saido Ntibazonkiza asajiliwa Yanga sc

Tetesi: Saido Ntibazonkiza asajiliwa Yanga sc

Saidio ni mchezaji mzuri ukilinganisha na Hawa wachezaji wetu wa kibongo labda kusema alikuwa analipwa pesa nyingi hivyo Simba wakaona wamuache
Wewe unaujua mpira.

Yaani Said akija kwenye timu yenu akasema jamani mimi bado ninahitaji kuendelea kucheza mpira naomba mnilipe kiasi kidogo cha pesa, hauwezi kumuacha Said. Mpira anaujua na bado mwili unadai na anawashinda wachezaji wengi tu wa Kibongo!
 
Ni mwendelezo wa Yanga sc kusajili wachezaji waliotelekezwa. Mshambuliaji raia wa Burundi ,Saido ntibazonkiza amerudi tena Jangwani na kupewa kandarasi ya miaka miwili kuwatumikia wana mboga mboga katika msimu wa 2024/2025.

Uongozi wa Yanga unaamini katika kusajili wachezaji waliotelekezwa na Simba sc na hawajasita msiku huu kuwasajili Baleke na Chama huku msimu uliopita wakimnasa Jonas Mkude.

Hii hali ya kusajili wachezaji wanaotelekezwa na Simba inatia mashaka zaidi na kufanya watu waamini kuwa uongozi wa Yanga unalipa fadhila kwa maduka yao yaliyowatumikia kwa kipindi cha miaka hii mitatu.
Hivi DCEA na lile Zoezi lao la Kuwasaka Wavuta Bangi Wakomavu Tanzania na Wabwia Unga limeishia wapi kwa sasa?
 
Ni mwendelezo wa Yanga sc kusajili wachezaji waliotelekezwa. Mshambuliaji raia wa Burundi ,Saido ntibazonkiza amerudi tena Jangwani na kupewa kandarasi ya miaka miwili kuwatumikia wana mboga mboga katika msimu wa 2024/2025.

Uongozi wa Yanga unaamini katika kusajili wachezaji waliotelekezwa na Simba sc na hawajasita msiku huu kuwasajili Baleke na Chama huku msimu uliopita wakimnasa Jonas Mkude.

Hii hali ya kusajili wachezaji wanaotelekezwa na Simba inatia mashaka zaidi na kufanya watu waamini kuwa uongozi wa Yanga unalipa fadhila kwa maduka yao yaliyowatumikia kwa kipindi cha miaka hii mitatu.
Katika hali tu ya kawaida, unaona jambo kama hii linawezekana?
Yaani kusajiliwa kwa mwamba wenu wa Lusaka ndiyo kumewavuruga kabisa akili, kiasi cha kubakia tu kuweweseka na kufurahisha genge!
 
Kuna mtu humu JF anatamani kucheza simba, wanasimba mpeni connection ili atumikie iyo klabu yenu
 
Back
Top Bottom