Saidoo anaaga Simba? Tazama hapa alichopost hivi punde

Simba si hawajafungiwa kusajili, waingie tu mfukoni wachukue magarasa tena.
 
ataenda kengold
 
Nitashangaa sana kama timu ya simba itaendelea kuwakumbatia wachezaji wazee kwenye msimu ujao, badala ya kufanya usajili wa wachezaji wengi vijana na wenye vipaji vya hali ya juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…