Saidoo na chama wakianza Basi Simba haishindi kesho. Ili mzungu afukuzwe

Saidoo na chama wakianza Basi Simba haishindi kesho. Ili mzungu afukuzwe

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Ukweli unauma lkn lazima usemwe. Kama Okra, Phiri, Israeli mwenda ndio waliofunga magoli kuipeleka Simba makundi hawachezi. Na Mgunda anamshauri mzungu awaache au amuingize mkude tusitegemee muujiza.

Na Hawa wazawa Hawa akina Boko wanataka mzungu afukuzwe ili wazee wampe timu Mgunda waanze kumpiga virungu tu. Ile tumekupambania Sana

Kwa mda huu mkude haijawahi kuwa Bora sema sawadong alikuwa mbovu Sana kuliko mkude lkn mkude Ni mbovu Sana.

Baleke sio mchezaji wa kufunga kwa bahati kusitudanganye. Bora kibu anasumbua beki na control anayo.
Kkkosi kilichoanza Angola ndio kingetupeleka mbali. Kwasababu okra hajaenda sehemu yake akae Kapombe.

Simba Sasa inategemea full back kufanya mashambulizi huu Ni upuuzi na mzaha mkubwa.

Angola mwenda akipanda okra anarudi na anakaba kikamilifu. Hivyo hivyo kwa sacko na Huseni.
Sawadongo anakaba timu hana msaada kwa timu kwenye mashambulizi.

Saidoo na chama hawawezi cheza pamoja mechi ya mkakati ata kidogo. Saidoo mzee na chama Yuko sloo ukijumuisha na Boko Basi hakuna timu


Mzungu afanye maamuzi pekeyake akipigwa apigwe pekeyake. Akimtegemea Mgunda ampe mbinu alizotumia kuingia makundi timu itamuacha Uganda uko uko.
 
Tunachojua ni kuwa hata Simba wapange kikosi chote cha wachezaji 25 bado watapasuka tu kwa vipers.
Kiufupi Simba ya sasa sio level za klabu bingwa, imejikuta tu imo kwa mabingwa wakati yenyewe ni kibonde
Subiri kesho uone. Kwakuwa wewe ulipigwa na Vipers sasa umekariri kwamba ni wakali mno. Kesho usikimbie jukwaa.
 
Saidoo na chama hawawezi cheza pamoja mechi ya mkakati ata kidogo. Saidoo mzee na chama Yuko sloo ukijumuisha na Boko Basi hakuna timu
Nakubaliana na wewe kabisa. Naomba nitoe mtazamo wangu pia.

Ukitoa hii kitu inaitwa uzee, Kumchezesha Chama na Saido kwenye mechi zenye intensity kubwa, unaweza win attacking(unaweza) but defensively tayari ume-loose. Hawana nguvu kabisa ya ku-press kwenye zone ya mpinzani. Timu lazima itaonekana Hopeless.

Hii kitu inaniuma sana, Jamani Chama sio Winger, Narudia tena Chama sio Winger. Moja ya njia ya kuifungua back line za mpinzani ni kucheza wide, sasa Chama, Sakho, Saido wote options zao ni kuingia ndani, unabaki na option ya Tshabalala na Kapombe tu.

Najua watu watabisha, ila angalia mechi anazocheza Kibu, Okra au hata Peter Banda kama Winger hawa waku-offer hiyo option ya kupita wide vizuri kabisa.

Kumchezesha Chama kama winger, Ni Kupoteza nguvu ya timu, kumtesa Tshabalala(Chama hawezi Rudi kusaidia kukaba kama second role ya Winger)

Hii excuse ya u-slow wa chama hautaonekana kama atacheza namba 10(kama kawaida yake), ana Mzamiru au Kanoute(8&6) wakumfutia mapungufu yake.

Imani Yangu, Natambua wanalitambua hili, ila nahisi kuna siasa kubwa nyuma ya hii timu. Simba sio wabovu kama watu wanavyofikiri.
 
Nakubaliana na wewe kabisa. Naomba nitoe mtazamo wangu pia.

Ukitoa hii kitu inaitwa uzee, Kumchezesha Chama na Saido kwenye mechi zenye intensity kubwa, unaweza win attacking(unaweza) but defensively tayari ume-loose. Hawana nguvu kabisa ya ku-press kwenye zone ya mpinzani. Timu lazima itaonekana Hopeless.

Hii kitu inaniuma sana, Jamani Chama sio Winger, Narudia tena Chama sio Winger. Moja ya njia ya kuifungua back line za mpinzani ni kucheza wide, sasa Chama, Sakho, Saido wote options zao ni kuingia ndani, unabaki na option ya Tshabalala na Kapombe tu.

Najua watu watabisha, ila angalia mechi anazocheza Kibu, Okra au hata Peter Banda kama Winger hawa waku-offer hiyo option ya kupita wide vizuri kabisa.

Kumchezesha Chama kama winger, Ni Kupoteza nguvu ya timu, kumtesa Tshabalala(Chama hawezi Rudi kusaidia kukaba kama second role ya Winger)

Hii excuse ya u-slow wa chama hautaonekana kama atacheza namba 10(kama kawaida yake), ana Mzamiru au Kanoute(8&6) wakumfutia mapungufu yake.

Imani Yangu, Natambua wanalitambua hili, ila nahisi kuna siasa kubwa nyuma ya hii timu. Simba sio wabovu kama watu wanavyofikiri.
Umeandika lots of straightforward technical issues, ambazo zote nakubaliana nazo, mwishowe ulipomaliza zaidi nikakubaliana nawe ni hapa; "Simba sio wabovu kama watu wanavyofikiri, kuna siasa kubwa ndani ya timu".

Hizo siasa ndio zinatufanye tuje na maneno mengi, wazee, wamechoka, Simba haijafanya usajili wa maana, na mengine... lakini kama wakiweka hizo siasa zao pembeni, angalau kwa leo tu, Vipers baadae hatoki nyumbani kwake.
 
Nakubaliana na wewe kabisa. Naomba nitoe mtazamo wangu pia.

Ukitoa hii kitu inaitwa uzee, Kumchezesha Chama na Saido kwenye mechi zenye intensity kubwa, unaweza win attacking(unaweza) but defensively tayari ume-loose. Hawana nguvu kabisa ya ku-press kwenye zone ya mpinzani. Timu lazima itaonekana Hopeless.

Hii kitu inaniuma sana, Jamani Chama sio Winger, Narudia tena Chama sio Winger. Moja ya njia ya kuifungua back line za mpinzani ni kucheza wide, sasa Chama, Sakho, Saido wote options zao ni kuingia ndani, unabaki na option ya Tshabalala na Kapombe tu.

Najua watu watabisha, ila angalia mechi anazocheza Kibu, Okra au hata Peter Banda kama Winger hawa waku-offer hiyo option ya kupita wide vizuri kabisa.

Kumchezesha Chama kama winger, Ni Kupoteza nguvu ya timu, kumtesa Tshabalala(Chama hawezi Rudi kusaidia kukaba kama second role ya Winger)

Hii excuse ya u-slow wa chama hautaonekana kama atacheza namba 10(kama kawaida yake), ana Mzamiru au Kanoute(8&6) wakumfutia mapungufu yake.

Imani Yangu, Natambua wanalitambua hili, ila nahisi kuna siasa kubwa nyuma ya hii timu. Simba sio wabovu kama watu wanavyofikiri.
Winger au wing? Kwa kiswahili ndio winga
 
Winger au wing? Kwa kiswahili ndio winga
Sorry Mkuu: A soccer player who plays a WING position is called?

Well...Kwenye Soccer/Ice hockey tunaita Winger. Ila wengine hupenda kuita simply : Wings(Origin: Rugby/American).

Ila kwa walinzi(defenders) ambao hu-cover wide areas of the field, huitwa "Wing-Back".
 
Ukweli unauma lkn lazima usemwe. Kama Okra, Phiri, Israeli mwenda ndio waliofunga magoli kuipeleka Simba makundi hawachezi. Na Mgunda anamshauri mzungu awaache au amuingize mkude tusitegemee muujiza.

Na Hawa wazawa Hawa akina Boko wanataka mzungu afukuzwe ili wazee wampe timu Mgunda waanze kumpiga virungu tu. Ile tumekupambania Sana

Kwa mda huu mkude haijawahi kuwa Bora sema sawadong alikuwa mbovu Sana kuliko mkude lkn mkude Ni mbovu Sana.

Baleke sio mchezaji wa kufunga kwa bahati kusitudanganye. Bora kibu anasumbua beki na control anayo.
Kkkosi kilichoanza Angola ndio kingetupeleka mbali. Kwasababu okra hajaenda sehemu yake akae Kapombe.

Simba Sasa inategemea full back kufanya mashambulizi huu Ni upuuzi na mzaha mkubwa.

Angola mwenda akipanda okra anarudi na anakaba kikamilifu. Hivyo hivyo kwa sacko na Huseni.
Sawadongo anakaba timu hana msaada kwa timu kwenye mashambulizi.

Saidoo na chama hawawezi cheza pamoja mechi ya mkakati ata kidogo. Saidoo mzee na chama Yuko sloo ukijumuisha na Boko Basi hakuna timu


Mzungu afanye maamuzi pekeyake akipigwa apigwe pekeyake. Akimtegemea Mgunda ampe mbinu alizotumia kuingia makundi timu itamuacha Uganda uko uko.
Hakuna cha mbinu za mgunda wala nini. Timu yenu mbovu sio ya level ya champions league mmejikuta tu mpo uko kibahati, Kilichowafikisha group stage ni bahati tu ya kupangiwa timu dhaifu. Mngepita njia ya watani wenu hata confederation msingefika maana kwa sasa hamna timu ya kumfunga al hilal wala club africain
 
Na sisi wana Simba tunataka wacheze dakika 90 ili tufungwe vizuri.


Simba yupo Championship na Yanga yupo sijui mashindano gani huko?
 
Back
Top Bottom