Saikolojia: Hatua tano za kuukubali ukweli/uhalisia

Saikolojia: Hatua tano za kuukubali ukweli/uhalisia

Duuuh psychology ni kitu hai umepita mule mule ila sijapenda umemaliza na siasa za kumsifu mtesi na kundi lake
 
Aisee umenikumbusha faraaa mmoja kama utani nikamute nae si akamute ahaaaa hadi leo ikaisha hivyoooo.

Hao sasa ndio Wanaume....

Japo hujamalizia stori.... kama baadae alianza kujileta leta...naomba utafuta hio sentensi niliyoandika Juu hapo
 
Ulishawahi kupenda ukakolea kabisa?
Ndo nimependa nimekolea hata sasa ila nasepa huku nalia....nitapoa mbele ya safari.pesa initese na mapenzi yanitese🙄nitakuwa sijakua vizuri
 
Ndo nimependa nimekolea hata sasa ila nasepa huku nalia....nitapoa mbele ya safari.pesa initese na mapenzi yanitese🙄nitakuwa sijakua vizuri
Hiyo ni level kubwa sana ya maturity. 🙌
 
Back
Top Bottom