Aisee umenikumbusha faraaa mmoja kama utani nikamute nae si akamute ahaaaa hadi leo ikaisha hivyoooo.
Kwenye Mutu punguza u Moja mkuuIvi inakuwaje mutu unateswa na mapenzi?! Dah! Aise watu tumeumbwa tofauti kinoma..
Unakuwa haupo seriousEasier said than done, though.
Ndo nimependa nimekolea hata sasa ila nasepa huku nalia....nitapoa mbele ya safari.pesa initese na mapenzi yanitese🙄nitakuwa sijakua vizuriUlishawahi kupenda ukakolea kabisa?