bnyanya
Senior Member
- Sep 27, 2013
- 178
- 63
Nionavyo mimi, watanzania wengi ni waoga wa utafutaji maisha. Wengi wanapenda maisha ya dezo...kukaa tu na kusubiri kufanyiwa michongo au maisha ya gwelele. Wanapenda vitu vikubwa na masifa ya kijinga wakati uwezo wa kutafuta maisha hawana.
Ndio maana hata leo tunakosa wagunduzi au watu wenye mawazo chanya kwa ajili ya kudumisha taifa letu.
#RiskTaker ni mtu wa namna gani??
Ukiangalia kipindi cha #MaishaPlus - utagundua: laiti kama watanzania tungekua tunaweza kuishi maisha kama hayo toka awali....nchi yetu ingekua na maendeleo makubwa.
Kwani watanzania wengi wangesambaa nchi mbalimbali kama walivyo nchi za wenzetu mfano WAGHANA,WA NIGERIA, WACHINA etc.
Si tukalia wizi tu na majungu!!!!
Ndio maana hata leo tunakosa wagunduzi au watu wenye mawazo chanya kwa ajili ya kudumisha taifa letu.
#RiskTaker ni mtu wa namna gani??
Ukiangalia kipindi cha #MaishaPlus - utagundua: laiti kama watanzania tungekua tunaweza kuishi maisha kama hayo toka awali....nchi yetu ingekua na maendeleo makubwa.
Kwani watanzania wengi wangesambaa nchi mbalimbali kama walivyo nchi za wenzetu mfano WAGHANA,WA NIGERIA, WACHINA etc.
Si tukalia wizi tu na majungu!!!!