Binadamu ni kiumbe cha ajabu sana,kila kundi la binadamu huongozwa na tabia tofauti tofauti,hebu chukulia huu mfano,hujawahi kuta kuna kijana ametoka familia ya kitajiri tu yenye uwezo na ana akili na tabia za wastani.
Au hujawahi ona mdada alikua na mahusiano kwenye ujana wake na wanaume wanaojilewa ila anaishia kua kahaba tu akiuza buku mbili au anaishia kua bar maid,mchoma vitumbua anayeunga unga mtaji.
Mara zote watu hao huangukia kwenye kundi la watu wasiofanya maamuzi mara mbili mbili. Kupitia uzi huu tutaona kwa kirefu kwa nini kundi hili huwaathiri zaidi wanawake kuliko wanaume. Unakuta baba ana hela anamuita mwanae,sasa tukupekele shule ya ufundi,......si unajua zile jeuri za watoto,..."aaah sitaki mimi nataka niwe msanii",unakuta dogo kipaji hana anapigika miaka miwili kwenye usanii anarudi nyumbani analia anataka shule,mzazi anamkazia na hela anazo vizuri tu,ndio imetoka hio ukiwa mpiga debe,teja,kahaba, mzazi ameshamaliza hivo.........Unaweza dhani ni ukatili fulani hivi wa kigaidi[emoji3][emoji3],kumbe ni tabia tu "psychology",ni jinsi tu mtu alivoumbwa.
Wadada hukutana sana na wanaume wa dizaini hii[emoji846][emoji3],unajua saikolojia ya watu wa namna hii wengi hujiamini,wenye akili na wana mafanikio,kwa tamaduni za mwafrika mwanamke ni kiumbe ambaye hana usawa kama mwanaume,nchi zingine kawaida sana kwa mwanamke kumfuata mwanaume na kuanzisha maisha yao ya ndoa,Kwa huku ni kinyume chake.
Kuna kundi kubwa la wanawake wanajuta maisha yao yote,sababu kama utamaduni wa mwafrika ulivo,mwanaume humfuata mwanamke,hata kama huyo mwanamke ana hisia na kumpenda mwanaume atajifanya hamtaki[emoji3][emoji3][emoji23]...........Ndio ile mwana kakamilika kila idara anamfata mwanamke anaanza kumletea nyodo,wengine huenda mbali zaidi kuleta dharau,kutaka matumizi ya bei ghali,ili tu kumkomoa dume,........si kashazoea waigizaji hawachokagi[emoji3],...........dizaini ya watu wasiofanya maamuzi mara mbili,wao wakiona tu "alarm" hawarudi tena,hata wawe na hela kama "Elon Musk"[emoji23][emoji23],.........yaani ukitongozwa tu ukaleta "bad attitude",kibuli,matusi na kizalilisha ndio nitolee hio..........kuna maelfu ya wasichana kwenye umri chini ya miaka 30,wameshawahi kukutana na hili kundi la wanaume na kubaki na majuto maisha yao yote,....kuna wengine hadi wanaamua kuzaa tu ama ndio ile kuolewa na yeyote yule.
Unakuta jamaa tu mstaarabu hana lile wala hili anakutana na mdada sehemu ngeni anaamua kuomba mawasiliano yake,kwa nia njema tu,......mdada "emotional" anaanza kumtolea jeuri,nyodo,......jamaaa anaamua ahirishe zoezi,na sio "temporary" ni "permanent"....usidhani mdada atatulia[emoji3][emoji3],lazima amfatilie jamaa kujua ni mtu wa namna gani,anagundua jamaa ni wale wanaume aliokua anawahitaji sana maishani mwake,...lakini ndio hivo tena jamaa ni aina ya watu wasiofanya maamuzi mara mbili.
Umeshawahi kukutana na watu wa namna hii?,hebu tupeni uzoefu wenu wadau
Au hujawahi ona mdada alikua na mahusiano kwenye ujana wake na wanaume wanaojilewa ila anaishia kua kahaba tu akiuza buku mbili au anaishia kua bar maid,mchoma vitumbua anayeunga unga mtaji.
Mara zote watu hao huangukia kwenye kundi la watu wasiofanya maamuzi mara mbili mbili. Kupitia uzi huu tutaona kwa kirefu kwa nini kundi hili huwaathiri zaidi wanawake kuliko wanaume. Unakuta baba ana hela anamuita mwanae,sasa tukupekele shule ya ufundi,......si unajua zile jeuri za watoto,..."aaah sitaki mimi nataka niwe msanii",unakuta dogo kipaji hana anapigika miaka miwili kwenye usanii anarudi nyumbani analia anataka shule,mzazi anamkazia na hela anazo vizuri tu,ndio imetoka hio ukiwa mpiga debe,teja,kahaba, mzazi ameshamaliza hivo.........Unaweza dhani ni ukatili fulani hivi wa kigaidi[emoji3][emoji3],kumbe ni tabia tu "psychology",ni jinsi tu mtu alivoumbwa.
Wadada hukutana sana na wanaume wa dizaini hii[emoji846][emoji3],unajua saikolojia ya watu wa namna hii wengi hujiamini,wenye akili na wana mafanikio,kwa tamaduni za mwafrika mwanamke ni kiumbe ambaye hana usawa kama mwanaume,nchi zingine kawaida sana kwa mwanamke kumfuata mwanaume na kuanzisha maisha yao ya ndoa,Kwa huku ni kinyume chake.
Kuna kundi kubwa la wanawake wanajuta maisha yao yote,sababu kama utamaduni wa mwafrika ulivo,mwanaume humfuata mwanamke,hata kama huyo mwanamke ana hisia na kumpenda mwanaume atajifanya hamtaki[emoji3][emoji3][emoji23]...........Ndio ile mwana kakamilika kila idara anamfata mwanamke anaanza kumletea nyodo,wengine huenda mbali zaidi kuleta dharau,kutaka matumizi ya bei ghali,ili tu kumkomoa dume,........si kashazoea waigizaji hawachokagi[emoji3],...........dizaini ya watu wasiofanya maamuzi mara mbili,wao wakiona tu "alarm" hawarudi tena,hata wawe na hela kama "Elon Musk"[emoji23][emoji23],.........yaani ukitongozwa tu ukaleta "bad attitude",kibuli,matusi na kizalilisha ndio nitolee hio..........kuna maelfu ya wasichana kwenye umri chini ya miaka 30,wameshawahi kukutana na hili kundi la wanaume na kubaki na majuto maisha yao yote,....kuna wengine hadi wanaamua kuzaa tu ama ndio ile kuolewa na yeyote yule.
Unakuta jamaa tu mstaarabu hana lile wala hili anakutana na mdada sehemu ngeni anaamua kuomba mawasiliano yake,kwa nia njema tu,......mdada "emotional" anaanza kumtolea jeuri,nyodo,......jamaaa anaamua ahirishe zoezi,na sio "temporary" ni "permanent"....usidhani mdada atatulia[emoji3][emoji3],lazima amfatilie jamaa kujua ni mtu wa namna gani,anagundua jamaa ni wale wanaume aliokua anawahitaji sana maishani mwake,...lakini ndio hivo tena jamaa ni aina ya watu wasiofanya maamuzi mara mbili.
Umeshawahi kukutana na watu wa namna hii?,hebu tupeni uzoefu wenu wadau