SAIKOLOJIA YA SOKA: Usajili wa Elias Mpanzu Simba SC ni usajili wa kisiasa ili kuwapumbaza mashabiki na wanachama kuficha makosa, Mpanzu ni Garasa

SAIKOLOJIA YA SOKA: Usajili wa Elias Mpanzu Simba SC ni usajili wa kisiasa ili kuwapumbaza mashabiki na wanachama kuficha makosa, Mpanzu ni Garasa

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Kama kawaida wakuu.

Sijawahi kumuona Mpanzu akicheza uwanjani kama ambavyo wana Simba wengi hawajawahi kumuona akicheza uwanjani.

Jana hotuba ya Mo akiwahutubia wwnachama alisema amesajili wachezaji 16 pia amemleta Mpanzu.

Yaani ktk wachezaji 16 mpanzu ni wa 17, katajwa kivyake. Ktk hao 16 wengi ni magarasa na aliyesajili ni yeye mwenyewe.

Mpanzu katajwa sababu anaimbwa sana mitandaoni ni maarufu sana hapa bongo hata wana Yanga tunamjua kwa majina japokuwa hatujawahi kumuona akicheza.

Kilichofanyika ni kuwapumbaza mashabiki na wanachama.

Kwa jinsi nilivyomsoma Mo, usajili wa Mpanzu sio wa kiufundi ni wa kisiasa, hotuba inaanza kwa kumsifia Mh Raisi SSH utazani yeye ni waziri wa michezo, hiyo ni defense mechanism asinyanga'nywe timu.

Mo mwenyewe hawaamini wachezaji wapya 16 tumaini lake ni Mpanzu na Raisi SSH ili kutimiza lengo lake la kuinunua SSC kiujanja ujanja ndio maana katoa ramani ya viwanja vya mpira vya SSC ili kutuliza upepo.

Nasema mapema kabisa usajili wa Mpanzu ni wa kisiasa mpanzu ni kama usajili wa skudu Yanga zile kelele na sifa mmezisahau?

Mtanielewa baadae.
 
Kama kawaida wakuu.

Sijawahi kumuona Mpanzu akicheza uwanjani kama ambavyo wana Simba wengi hawajawahi kumuona akicheza uwanjani.

Jana hotuba ya Mo akiwahutubia wwnachama alisema amesajili wachezaji 16 pia amemleta Mpanzu.

Yaani ktk wachezaji 16 mpanzu ni wa 17, katajwa kivyake. Ktk hao 16 wengi ni magarasa na aliyesajili ni yeye mwenyewe.

Mpanzu katajwa sababu anaimbwa sana mitandaoni ni maarufu sana hapa bongo hata wana Yanga tunamjua kwa majina japokuwa hatujawahi kumuona akicheza.

Kilichofanyika ni kuwapumbaza mashabiki na wanachama.

Kwa jinsi nilivyomsoma Mo, usajili wa Mpanzu sio wa kiufundi ni wa kisiasa, hotuba inaanza kwa kumsifia Mh Raisi SSH utazani yeye ni waziri wa michezo, hiyo ni defense mechanism asinyanga'nywe timu.

Mo mwenyewe hawaamini wachezaji wapya 16 tumaini lake ni Mpanzu na Raisi SSH ili kutimiza lengo lake la kuinunua SSC kiujanja ujanja ndio maana katoa ramani ya viwanja vya mpira vya SSC ili kutuliza upepo.

Nasema mapema kabisa usajili wa Mpanzu ni wa kisiasa mpanzu ni kama usajili wa skudu Yanga zile kelele na sifa mmezisahau?

Mtanielewa baadae.
Nimesikiliza hotuba ya MO jana itoshe kusema wanachama wa mpira wanaoingia kwenye vile vikao huwa wanapaki akili nyumbani na kwenda na nywele tu.
 
Kama kawaida wakuu.

Sijawahi kumuona Mpanzu akicheza uwanjani kama ambavyo wana Simba wengi hawajawahi kumuona akicheza uwanjani.

Jana hotuba ya Mo akiwahutubia wwnachama alisema amesajili wachezaji 16 pia amemleta Mpanzu.

Yaani ktk wachezaji 16 mpanzu ni wa 17, katajwa kivyake. Ktk hao 16 wengi ni magarasa na aliyesajili ni yeye mwenyewe.

Mpanzu katajwa sababu anaimbwa sana mitandaoni ni maarufu sana hapa bongo hata wana Yanga tunamjua kwa majina japokuwa hatujawahi kumuona akicheza.

Kilichofanyika ni kuwapumbaza mashabiki na wanachama.

Kwa jinsi nilivyomsoma Mo, usajili wa Mpanzu sio wa kiufundi ni wa kisiasa, hotuba inaanza kwa kumsifia Mh Raisi SSH utazani yeye ni waziri wa michezo, hiyo ni defense mechanism asinyanga'nywe timu.

Mo mwenyewe hawaamini wachezaji wapya 16 tumaini lake ni Mpanzu na Raisi SSH ili kutimiza lengo lake la kuinunua SSC kiujanja ujanja ndio maana katoa ramani ya viwanja vya mpira vya SSC ili kutuliza upepo.

Nasema mapema kabisa usajili wa Mpanzu ni wa kisiasa mpanzu ni kama usajili wa skudu Yanga zile kelele na sifa mmezisahau?

Mtanielewa baadae.
Mtu hata hajacheza tayari ni garasa, wachambuzi wa bongo hopless kabisa
 
Uyu Mpanzu aruhusiwe acheze dhidi ya Yanga tarehe 19 ili tuone ufanisi wake. Maana anaweza akacheza na vitimu vibovu akawa amepimwa kwa kipimo kisicho Sahihi.
 
Mtu hata hajacheza tayari ni garasa, wachambuzi wa bongo hopless kabisa
Kwanini unashangaa na watu wanakkwambia mpanzu ni mzuri kuliko kibu kwanini hauhoji ila mimi niliyemsoma mo saikolojia yake unanishangaa?
 
Uyu Mpanzu aruhusiwe acheze dhidi ya Yanga tarehe 19 ili tuone ufanisi wake. Maana anaweza akacheza na vitimu vibovu akawa amepimwa kwa kipimo kisicho Sahihi.
Mkuu sasa hivi hamna timu mbovu hata hizo hizo zinamtosha
 
Simba hata kipa hawana , ni pazia. Hivyo manula tunataka adake darb
 
Mpaka sasa mpanzu hajacheza mechi yeyote ya shirikisho

Mbaya zaidi fadlu anasema anamtafutia mpanzu nafasi ya kucheza maana anacheza namba nyingi 😆
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
Mpanzu kaanza kucheza , anspiga mashuti hata akiwa mbali ili afunge sababu anataka kuficha madhaifu yake,

Huo moto alioanza nao ni wa kukamia akicheza mechi tano nitaufufua huu uzi wangu tutaanza kuelewqna
 
Mpanzu jana kaanza kuonyesha matundu mengi mtayaon kwenye mechi za CAF
 
Back
Top Bottom