Kauzwa bei gani ?Yule kaenda Sauzi free...
Huyu kauzwa kwa mtonyo mrefu...
[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dolali laki 120,400/-
Mbagala market wasemeje sasa ambako amecheza zaidi ya miaka 2...?[emoji23]Afadhali kidogo na yanga mjisikie sasa kutoa mchezaji akacheze kimataifa huko!
Samata wa Simba
I think ndondo imeanzishwa france na spain
yanga wametoa mchezaji akawa mfungaji bora ligue 1,akacheza fainali uefa,akacheza epl,kama haitoshi akaifunga madrid ya zidane na nyota kibaoAfadhali kidogo na yanga mjisikie sasa kutoa mchezaji akacheze kimataifa huko!
Samata wa Simba
Basi inatosha Mkuu!yanga wametoa mchezaji akawa mfungaji bora ligue 1,akacheza fainali uefa,akacheza epl,kama haitoshi akaifunga madrid ya zidane na nyota kibao
na nyuma kabisa yanga ilipeleka ulaya mchezaji anaitwa sunday manara,alicheza na johan cruyf,fundi mwashi wa barcelona ya sasa..huyo manara hajapatapo kutokea mchezaji kama huyo tzBasi inatosha Mkuu!
Kipindi hiko hakuwa amezaliwa mwenzko. hahahahhaha