Saimon Msuva amwaga wino miaka mitatu DH Al Jadid ya Morocco

Saimon Msuva amwaga wino miaka mitatu DH Al Jadid ya Morocco

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
FB_20170728_23_25_18_Saved_Picture.jpg

Kuanza maisha mapya kwa waarabu wa Morocco.
 

Attachments

  • wp_ss_20170728_0003.png
    wp_ss_20170728_0003.png
    106.4 KB · Views: 80
Afadhali kidogo na yanga mjisikie sasa kutoa mchezaji akacheze kimataifa huko!

Samata wa Simba
 
Afadhali kidogo na yanga mjisikie sasa kutoa mchezaji akacheze kimataifa huko!

Samata wa Simba
Mbagala market wasemeje sasa ambako amecheza zaidi ya miaka 2...?[emoji23]
 
Afadhali kidogo na yanga mjisikie sasa kutoa mchezaji akacheze kimataifa huko!

Samata wa Simba
yanga wametoa mchezaji akawa mfungaji bora ligue 1,akacheza fainali uefa,akacheza epl,kama haitoshi akaifunga madrid ya zidane na nyota kibao
 
Basi inatosha Mkuu!

Kipindi hiko hakuwa amezaliwa mwenzko. hahahahhaha
na nyuma kabisa yanga ilipeleka ulaya mchezaji anaitwa sunday manara,alicheza na johan cruyf,fundi mwashi wa barcelona ya sasa..huyo manara hajapatapo kutokea mchezaji kama huyo tz
 
Back
Top Bottom