Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,158
- 4,449
Nakichukulia kama ni chuo cha kibabaishaji kwasababu zifuatazo.
1.Hawako vizuri kwenye records keeping kwa mfano unaweza kurudishwa usiingie kwenye chumba cha mtihani kwasababu kumbukumbu zao zinaonyesha unadaiwa ada hata kama umelipa kila kitu, hivyo kumlazimu mwanafunzi kutembea na risti zake za ada ili kuepuka usumbufu.
2.Wanafanya kazi zao kama zima moto hivyo kupelekea kusababisha usumbufu kwa wateja, kwa mfano ni kawaida kabisa kusikia mwanafunzi alimaliza chuo lakini walisahau kumuweka kwenye orodha ya wahitimu hata kama hadaiwi kitu chochote.
3. Hawako systematic katika mambo yao, kwa mfano wahitimu wa MASTERS wa mwaka2011 na miaka ya nyuma walipata vyeti vyao ndani ya wiki moja ila wahitimu wa mwaka 2012 tulimaliza mwezi November mpaka sasa hatujapata vyeti vyetu tena bila kupewa sababu zozote za msingi japo kuna tetesi kwamba aliyekuwa anashughulikia vyeti yupo Maternity hivyo tutavipata mpaka akimaliza likizo yake ya uzazi, What a University? Jamani mnaozijua sheria tushaurini kama tunaweza kuwaburuza mahakamani kwa huu usumbufu.
1.Hawako vizuri kwenye records keeping kwa mfano unaweza kurudishwa usiingie kwenye chumba cha mtihani kwasababu kumbukumbu zao zinaonyesha unadaiwa ada hata kama umelipa kila kitu, hivyo kumlazimu mwanafunzi kutembea na risti zake za ada ili kuepuka usumbufu.
2.Wanafanya kazi zao kama zima moto hivyo kupelekea kusababisha usumbufu kwa wateja, kwa mfano ni kawaida kabisa kusikia mwanafunzi alimaliza chuo lakini walisahau kumuweka kwenye orodha ya wahitimu hata kama hadaiwi kitu chochote.
3. Hawako systematic katika mambo yao, kwa mfano wahitimu wa MASTERS wa mwaka2011 na miaka ya nyuma walipata vyeti vyao ndani ya wiki moja ila wahitimu wa mwaka 2012 tulimaliza mwezi November mpaka sasa hatujapata vyeti vyetu tena bila kupewa sababu zozote za msingi japo kuna tetesi kwamba aliyekuwa anashughulikia vyeti yupo Maternity hivyo tutavipata mpaka akimaliza likizo yake ya uzazi, What a University? Jamani mnaozijua sheria tushaurini kama tunaweza kuwaburuza mahakamani kwa huu usumbufu.