Saint Augustine University of Tanzania (SAUT) Special Thread

Ukifika malimbe jitahidi sana kumfahamu MAMA WHITE pale nyamalango....!! Utapata chakula cha bei NAFUU mno...!!
[HASHTAG]#naipenda[/HASHTAG] mwanza
hahaha, dada white amejiongezea na mkorogo juu! Kumbe bado yupo kitaa cha Nyamalango! Nyakati zimekwenda wapi?

Nimemiss Nyamalango, Sweya, Darfur hostel, Kwa masha, Kashekulo mpaka Malimbe Complex!
 
Nilikuwa hapo main campus kuanzia 2010 -2013 nilikuwa nakaa pande za swea badae nikahamia glory to god karibia na nyamalango pale...isee umenikumbusha mbali sana mkuu
Yap mi pia nilikuwepo hapo 2008-2011 mkuu nilianzia pia swea nikahamia kwa Marsha mbele ya quick choice maeneo Yale mbele ya hostel za manyara pia
 
Vipi kuhusu gharama za hostel na chakula?
Mmh hebu ngoja wadau wa sasa hivi waje watueleza kwa sasa ni kiasi gani wengine tumetoka hapo 2011 mkuu huenda gharama za accommodation chuo zimepanda kidogo
 
Msuli wa sauti ni kukaza sana lasivyo unaweza ukasoma degree miaka 6. Na utake usitake utasoma french haijalishi cozi hata kama ni engineering french lazima mwaka mzima
Kweli kabisa Mkuu saut mkazo mwanzo mwisho
 
hivi vyuo vyenu .com vya juzi juzi
 
Maisha nafuu sana pale, utakula sato paka wakukinaii.
Umenikumbusha kipindi kile 2011 kipindi cha UE asubuhi tuu tulikuwa tunakwenda kunywa supu ya sato, chapati na coca bariidi
 
hahaha, dada white amejiongezea na mkorogo juu! Kumbe bado yupo kitaa cha Nyamalango! Nyakati zimekwenda wapi?

Nimemiss Nyamalango, Sweya, Darfur hostel, Kwa masha, Kashekulo mpaka Malimbe Complex!
Umenikumbusha Dada white
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…