Nilimaliza kozi hii miaka ya nyuma kidogo. Ni kozi nzuriNimechaguliwa hapo saut public relation and marketing
Ukishaona mtu anang'ang'ania kuna fursa halafu hataki kuiweka wazi kuna walakini.Hiyo fursa nilimweleza aiweke hapa wote tuionee naona kimya itabidi nimpm tuu
Vipi kwenye ajira na msuli wake kwa ujumlaNilimaliza kozi hii miaka ya nyuma kidogo. Ni kozi nzuri
AsanteDaah safi mkuu na hongera sn
Umechaguliwa saut?Pia naomba mchanganuo wa gharama za hostel na maeneo yake mahsusi kwa mwanafunzi wa engineering
Ndio mkuuUmechaguliwa saut?
Ngoja wakeNimechaguliwa b of arts in economics saut siifaam nilitaka education Kuna anaefaham hiyo faculty
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] mkuu hata mimi nilipoteaga sanaDaaah ,,,,nakumbuka siku ya kwanza ya vipindi pale saut nilipotea sana madarasa ....mbaya ZAIDI sikuudhuria orientation ...na ratiba inanichanganya.
Nimesoma na LLB 3/MARAKADHAA.
KARIBUNI TULIJENGE JIJI LA MUNGU.
Acha kabisa..... Sasa hivi wamemwagwa security CHUO kizima kwenye malango yote....kama hauja zingatia dressing code ,,,huingii kwa hall au haina ID.WAKO VIZURI KWA KWELI[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] mkuu hata mimi nilipoteaga sana
Duh usinambie kweli hayo mabadiliko.....[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Acha kabisa..... Sasa hivi wamemwagwa security CHUO kizima kwenye malango yote....kama hauja zingatia dressing code ,,,huingii kwa hall au haina ID.WAKO VIZURI KWA KWELI
Aswaaa yapo. Hakuna vimini pale..wala nguo yakubana.Duh usinambie kweli hayo mabadiliko.....[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Hahaha daaah ukute hata group work ulifanya nao mkuu, umenifurahisha sanaDaaah ,,,,nakumbuka siku ya kwanza ya vipindi pale saut nilipotea sana madarasa ....mbaya ZAIDI sikuudhuria orientation ...na ratiba inanichanganya.
Nimesoma na LLB 3/MARAKADHAA.
KARIBUNI TULIJENGE JIJI LA MUNGU.