Saint Augustine University of Tanzania (SAUT) Special Thread

Saint Augustine University of Tanzania (SAUT) Special Thread

Hivi zile hostel za kule Darfull bado zipo??? Nimeishi pale darfull miaka yangu mitatu pindi nasoma Saut,nilikua chumba 210 next to my room alikua anaishi Bwana Moses Machali.... Kitima bado VC Saut?? Huyu jamaa ni mbabe hatari.... Kuna siku loan board walichelewa kulipa Schoo Fee, tukaenda kuongea na Kitima,tukamwambia Waziri wa Elimu kasema tufanya paper, serikali watalipa hela baadae, Jamaa alijibu kwa mkato hua naamulishwa na watu wawili tu, Papa na Kadinali Pengo, Mkitaka nimpigie hata Rais Kikwete muongee nae, Nimesema sitoi number hapa..... Tukawa wapole kama sisimizi.... Bado kama lisaa limoja hivi kuanza paper....Jamaa ndo akaruhusu tupewe number.... Sasa wewe uko Malimbe, unachukua boda kwenda main campus kuchukua number,zen urudi malimbe kufanya paper.... Yaan huyo jamaa sitamusahau kabisa kwenye maisha yangu
Duuuh memory nzuri sn mkuu, Kitima alikuwa mbabe hatarii, yaani hata sisi aliwahi kutuzingua kuhusu namba kwakosalakutokumalizia fees, kumbe umeishi dafull mie nilikuwa sweya then nikahamia maeneo ya quick choice maeneo ya manyara sehemu inaitwa kwa masha, palikuwa pazuri sn hostel zimetulia kadhalika na gym ikafunguliwa basi ilikuwa burudani tupuu
 
Duuuh memory nzuri sn mkuu, Kitima alikuwa mbabe hatarii, yaani hata sisi aliwahi kutuzingua kuhusu namba kwakosalakutokumalizia fees, kumbe umeishi dafull mie nilikuwa sweya then nikahamia maeneo ya quick choice maeneo ya manyara sehemu inaitwa kwa masha, palikuwa pazuri sn hostel zimetulia kadhalika na gym ikafunguliwa basi ilikuwa burudani tupuu

Kwa Masha napajua sana, nilikua nakuja sana huko.... Si unajua tena ujana maji ya moto.... Kitima ni nouma mkuu...
 
Mi nipo apo naingia second year LLB kwa wadau wa hostel binafsi zipo za kumwaga kuanzia laki 4 hadi million kazaa kwa masha bado kupo fresh sana hostel za kumwaga!!!
 
Nimewawekea majina ya walio chaguliwa saut mwanza kwa wale walio chaguliwa zaid ya chuo kimoja ambao hawakupata nafasi ya masomo kama batch one na joining instraction karibuni
 

Attachments

VC wa sasa SAUT ni Rev. Dr. Thadeus Mkamwa. Fursa za biashara kwa wanachuo wanaojua kutumia boom kwa busara zipo. Mfano stationeries, huduma za kifedha za mitandao ya simu e.g M-pesa et. al, bodaboda, migahawa, maduka just to mention but a few. Hostels ni za kutosha kulingana hela yako tu. Za ndani ni laki 3/ per year ila za nje ni kuanzia laki 4 na kuendelea mpaka za kifahari 1.5 M unazipata. Ugumu wa kusoma SAUT kwa uzoefu wangu ni kutokana na kuwa na course nyingi sana kila semester (french ni compulsory). Refreshment kuna beach za kutosha kama jembe, charcoal ribs, shafiq etc. Otherwise ni sehemu nzuri ya kusoma na kwa mtu makini unaweza kufaulu masomo vizuri na katika fursa za biashara pia.
 
What! great idea, Kilichonivutiaga SAUT mwanza ni kusomea porini kule tulikuwa tunapaita M zero, yaani ukiingia humo unaenjoy natural vegetation, birds wanyama wadogo wadogo huku utereal unaingia taaaratibu kuurutubisha ubongo. Wow! what a memory!
 
Nimesomea SAUT _Mwenge university college of education sasa hivi kinaitwa Mwenge Catholic university, nimemaliza mwaka 2014
 
Nimewawekea majina ya walio chaguliwa saut mwanza kwa wale walio chaguliwa zaid ya chuo kimoja ambao hawakupata nafasi ya masomo kama batch one na joining instraction karibuni
Hongera sana mkuu hili ndilo lengo kuu kupashana habari mbali mbali za hivi punde na zijazo, hope wengi wanasaut watakuwa wameona majina yao vzr, mkuu safii sana nakupongeza sn.
 
Back
Top Bottom