"Saivi nipo makao makuu JKT unaswali niulize"..

"Saivi nipo makao makuu JKT unaswali niulize"..

huyo raisi ni mmoja wa hizo nchi mbili au

...yaah ! tangu jadi mbabe ndo anakuwa mtemi, so kama vipi zipigwe heshima iwepo,waulizeni wanajeshi kama wako tayari,ila wakumbuke vita ya sikuhizi sio ya kukimbia na mabunduki mkononi na teknologia zaidi...
 
wanasemaje kuhusiana na majina mapya ya nyongeza ya awamu ya tatu.
je lile tangazo la kuandika barua lina wahusu..? kumbuka tangazo lilitoka kabla ya tarehe 30 sept lakini majina ya nyongeza yametoka jana..swali langu haya majina mapya ya nyongeza nilazima kwenda jkt na swala la barua lina wahusu au haliwahusu..na ukumbuke kuwa haya majina yanyongeza ni kwa wale waliopata dv 4 na 0

majina yameongezwa tena hadi wale ambao hawakuepo tar 28. Kwaio we kama unaherufi kuanzia k to z. Jicheki upo kambi gani
 
wanasemaje kuhusiana na majina mapya ya nyongeza ya awamu ya tatu.
je lile tangazo la kuandika barua lina wahusu..? kumbuka tangazo lilitoka kabla ya tarehe 30 sept lakini majina ya nyongeza yametoka jana..swali langu haya majina mapya ya nyongeza nilazima kwenda jkt na swala la barua lina wahusu au haliwahusu..na ukumbuke kuwa haya majina yanyongeza ni kwa wale waliopata dv 4 na 0

nina swali kama hili japo nseme tu kwamba sio wale wenye 4 tu hata three wamo,
Naomba nijue mwisho ni lini ama je inawahusu au la
 
Kwanini vijana wetu waliokufa huko jkt katika mazingira ya utatanishi hawakufanyiwa uchunguzi wa kitaalamu (post mortem)kubaini sababu ya vifo vyao?au kwa sababu ni jeshi kwahiyo wana uwezo wa kuua makuruta na kutoa sababu za vifo hivyo kutoka kwenye vichwa vyao?kwa hali hii ukweli wa vifo hivyo utajulikana vipi?
 
Back
Top Bottom