Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo raisi ni mmoja wa hizo nchi mbili au
wanasemaje kuhusiana na majina mapya ya nyongeza ya awamu ya tatu.
je lile tangazo la kuandika barua lina wahusu..? kumbuka tangazo lilitoka kabla ya tarehe 30 sept lakini majina ya nyongeza yametoka jana..swali langu haya majina mapya ya nyongeza nilazima kwenda jkt na swala la barua lina wahusu au haliwahusu..na ukumbuke kuwa haya majina yanyongeza ni kwa wale waliopata dv 4 na 0
wanasemaje kuhusiana na majina mapya ya nyongeza ya awamu ya tatu.
je lile tangazo la kuandika barua lina wahusu..? kumbuka tangazo lilitoka kabla ya tarehe 30 sept lakini majina ya nyongeza yametoka jana..swali langu haya majina mapya ya nyongeza nilazima kwenda jkt na swala la barua lina wahusu au haliwahusu..na ukumbuke kuwa haya majina yanyongeza ni kwa wale waliopata dv 4 na 0