Sajili 10 Bora Zilizozua Gumzo Katika Dirisha hili la Usajili Ligi Kuu Tanzania Bara

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
1. Aziz Stephane Ki ($200,000) Asec Mimosas to Yanga SC

2. Bernard Morriso (Free Agent) Simba SC to Hanga SC

3. Augustino Okrah (Loan) Bechem UTD to Simba SC

4. Ceaser Manzoki ($58,000) Vipers SC to Simba SC

5. Gael Bigirimana (Loan) Glentoran_F.C to Yanga SC

6. Abdul Sopu ($50,000) Coast Union FC to Azam FC

7. Joyce Lomalisa ($25,000) G.D. Interclube to Yanga SC

8. Lazarous Kambole (Free Agent) Kaizer Chiefs to Yanga SC

9. Habibu Kyombo ($14,000) Singida BS FC to Simba SC

10. Metacha Mnata (Free Agent) Polisi Tanzania to Singida BS FC
 
Ki ndo ambaye Uto wamekaa kukesha kusubiri kutambulisha..!

Hivi klabu hii inawezaje kuleta uongo wa namna hii.
 
Huyo Aziz Ki ndiyo atasababisha muwaone viongozi wenu ni watu wa Fix maana waliwaaminisha wanamleta ili hali mambo bado.
Ndiyo maana simba wameamua kufanya usajili kimyakimya ili kuepusha kudanganya wanazungumza na mchezaji mpk makubaliano mambo yakikaa vizuri ndiyo wanamtangaza
 
$200,000

Mtawatukana viongozi na wachezaji wenu. Tayari amechukua tahadhari season ijayo itakua ngumu kwenu kutokana na mafanikio yenu ya msimu huu, timu zitawakamia sana. Hahah

Free agents, wengine ni rejects huko walipotoka.
 
Mi nilitaka kushangaa yaani aziz ki aache ku sign simba aende utopolo kumbe ile ilikuwa ni propaganda ya kuombea kura kwa engineer aende yanga team inaheza mechi mbili kimataifa inarudi beach kidimbwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…