demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
- Thread starter
- #61
$200,000
Mtawatukana viongozi na wachezaji wenu. Tayari amechukua tahadhari season ijayo itakua ngumu kwenu kutokana na mafanikio yenu ya msimu huu, timu zitawakamia sana. Hahah
Free agents, wengine ni rejects huko walipotoka.
Hakuna anayetaka mteremko.
Hata msimu ulio pita tulikamiwa.