njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
kwako wewe, kwao bechem utd wamepewa usd 120,000 waandishi wote wakubwa Ghana wame report hivyo..hadi saddick adams...eti Bigirimana loan wakati mkataba wake umeisha huko ireland..dahaisee uzi wa kiduwanzi huuNi loan mkuu.
Ni loan mkuu.
Kwa ulivyoanza tu kuandika upuuzi hamna haja ya kusoma zaidi.1. Aziz Stephane Ki ($200,000) Asec Mimosas to Yanga SC
2. Bernard Morriso (Free Agent) Simba SC to Hanga SC
3. Augustino Okrah (Loan) Bechem UTD to Simba SC
4. Ceaser Manzoki ($58,000) Vipers SC to Simba SC
5. Gael Bigirimana (Loan) Glentoran_F.C to Yanga SC
6. Abdul Sopu ($50,000) Coast Union FC to Azam FC
7. Joyce Lomalisa ($25,000) G.D. Interclube to Yanga SC
8. Lazarous Kambole (Free Agent) Kaizer Chiefs to Yanga SC
9. Habibu Kyombo ($14,000) Singida BS FC to Simba SC
10. Metacha Mnata (Free Agent) Polisi Tanzania to Singida BS FC
ETI OKRAH NI LOAN, YAANI STAR WAKO UMPELEKE LOAN TENA TEAM YA AFRIKA MASHARIKI,HIVI MNAJUA MANA YA LOAN? LEO KONDE BOY AKIRUDI SIMBA KWA LOAN SABABU INAELEWEKA KABISA..HADI SASA YANGA ILIOWASAJILI HAIJANUNUA HATA MMOJA WOTE NI FREE AGENTS..LABDA SIGNING FEES NDO WAMEGHARAMIKA..SOMA HAPA MAGAZETI YA GHANA
View attachment 2290101
Engineer kawajaza uongo.Aziz Stephane Ki ($200,000) Asec Mimosas to Yanga SC
Wanajiliwaza tu lkn hakun ukweli wowote kuhus ki Aziz kutua YangaHuyo K uliyeanza nae mbona bdo hajatambulishwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niliishia hapo kwenye kusoma uzi. ameandika takataka
Una wazimu we, unadhani huu mpira unaufuatilia peke yako? Kwani Aziz Ki ungemjua bila Simba kumleta hapa? Mjinga wee.Siwezi bishana na wewe unaue ishi kazulamimba vijijini.
Hizi taarifa siziokoti.
Ngeli huiwezi kuwa mkweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usikaze mishipa sana, utaiasua.
Hiyo kauli ni SARCASM.
1. Aziz Stephane Ki ($200,000) Asec Mimosas to Yanga SC
2. Bernard Morriso (Free Agent) Simba SC to Hanga SC
3. Augustino Okrah (Loan) Bechem UTD to Simba SC
4. Ceaser Manzoki ($58,000) Vipers SC to Simba SC
5. Gael Bigirimana (Loan) Glentoran_F.C to Yanga SC
6. Abdul Sopu ($50,000) Coast Union FC to Azam FC
7. Joyce Lomalisa ($25,000) G.D. Interclube to Yanga SC
8. Lazarous Kambole (Free Agent) Kaizer Chiefs to Yanga SC
9. Habibu Kyombo ($14,000) Singida BS FC to Simba SC
10. Metacha Mnata (Free Agent) Polisi Tanzania to Singida BS FC
Muwe mnafunga midomo.Huyo Aziz Ki ndiyo atasababisha muwaone viongozi wenu ni watu wa Fix maana waliwaaminisha wanamleta ili hali mambo bado.
Ndiyo maana simba wameamua kufanya usajili kimyakimya ili kuepusha kudanganya wanazungumza na mchezaji mpk makubaliano mambo yakikaa vizuri ndiyo wanamtangaza
Mkiambiwa makolo hamna akili huwa mnasema tunawaoneaMi nilitaka kushangaa yaani aziz ki aache ku sign simba aende utopolo kumbe ile ilikuwa ni propaganda ya kuombea kura kwa engineer aende yanga team inaheza mechi mbili kimataifa inarudi beach kidimbwi.