bab-D
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 1,215
- 322
Nitakusaidia kusajiri jina la biashara tu kwa gharama ndogo,
1. tsh20 000=mahitaji ya brela
2.tsh5 000=gharama za ku-access mtandaon
3.tsh10 000=garama zangu za huduma.
Pia ukipenda baada ya name clearance naweza kukupa pasward za account yangu ukafanya malipo mwenyewe brela online, kisha kisha utaprint cheti cha mda na utapokea cheti cha kudumu baada ya mwezi mmoja kwa njia ya posta hapa hakuna wizi wala utapeli.
Hakuna haja ya PM tunazungumzia hapa hapa napatikana Mwanza
1. tsh20 000=mahitaji ya brela
2.tsh5 000=gharama za ku-access mtandaon
3.tsh10 000=garama zangu za huduma.
Pia ukipenda baada ya name clearance naweza kukupa pasward za account yangu ukafanya malipo mwenyewe brela online, kisha kisha utaprint cheti cha mda na utapokea cheti cha kudumu baada ya mwezi mmoja kwa njia ya posta hapa hakuna wizi wala utapeli.
Hakuna haja ya PM tunazungumzia hapa hapa napatikana Mwanza