Sakata la bandari CCM na Serikali yake inapaswa kubeba lawama

Sakata la bandari CCM na Serikali yake inapaswa kubeba lawama

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Mjadala unashika kasi na uliopo kwenye masikio ya watu ni kuhusu bandari yetu kuibinafsisha kwa wamanga wa dubai.

Mpaka muda huu kila mmoja anakuja na lake,ghafla bandari wakakurupuka kukanusha kuhusu hiyo habari bila kuweka vielelezo vya hayo wanayokanusha ,pili bandari unakanushaje nawe sio uliyeingia mkataba.

Hapa wa kujibu ni yule tunayemuona kwenye picha akisaini makaratasi na watu waliovaa vilemba na mahegali kichwani yaani serikali.

CCM mwenyekiti amehusika hebu njooni na fact mtutowe kwenye wasiwasi wananchi na huu uwongo mnaojaribu kuukanusha ili hali mwenyekiti na wabunge wanaujua na baadhi ya mawaziri.

Bila ya hivyo tutaamini haya yanayosemwa kuwa mmeuza bandari sijui mmeipangisha kwa muda usiojulikana huu ni wakati wa kuweka mambo hadharani kabla hali haijamuwia ngumu Raisi Mama Samia kwa wananchi waliomuamini katika kipindi hiki kifupi cha uongozi wake na kitafuta mazuri yote aliyofanya.

Wananchi watarudi kwenda kulia kaburini kwa hayati Magufuli aliyekuwa haiingii mikataba kwa siri huweka makamera ya vyombo vya habari.

Chama na serikali tokeni mliweke hili sawa na mtupe ukweli hapa hamkwepi lawama!

Uwongo usipokanushwa hugeuka ukweli!
 
Mjadala unashika kasi na uliopo kwenye masikio ya watu ni kuhusu bandari yetu kuibinafsisha kwa wamanga wa dubai,
Mpaka muda huu kila mmoja anakuja na lake,ghafla bandari wakakurupuka kukanusha kuhusu hiyo habari bila kuweka vielelezo vya hayo wanayokanusha...
CCM kila BAYA la NCHI HII yenyewe ndio CHANZO inanufaika na SHIDA za WANANCHI
 
Inasemekana Vita vikuu vya kwanza vya Dunia, ambavyo vilipelekea Vita vya pili vya Dunia, vilianza mara baada ya mtu mmoja mashuhuri kuuwawa Katika mazingira yenye utata!

Mjadala wa ubinasfishaji wa shughuli za bandari nchini umeacha pande zote mbili kinzani, Wanaharakati na Serikali, Katika msongo wa voti nyingi kuliko! ... HALI SI SHWARI SANA, NA TUMEISHAANZA KUSIKIA MALALAMIKO YA BAADHI YA WADAU WAKILALAMIKA KUTISHIWA MAISHA KWA KUTOA MAONI YAO KWA NIA NJEMA KABISA HUKU WAKIZINGATIA MASLAHI MAPANA YA KITAIFA!

ANGALIZO!: Tuna maadui Watanzania, NDANI NA NJE, wanaoweza kuutumia mjadala huu mdogo kuwa kama chanzo kizuri cha kutuvuruga, kwa kumdhuru mdau yeyote, kati ya wanaharakati au hata serikali, na kutuletea machafuko!

TUNAWAOMBA TISS NA VYOMBO VINGINE VYA DOLA VIWALINDE VIONGOZI WETU, WANAHARAKATI NA VIONGOZI WA SERIKALI, ILI ADUI AKOSE PA KUANZIA!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!
 
Ni ipi sababu kuu ya bandari zetu kupewa mwarabu bila hata kujali tutalipwa shilingapi' ndio hiyo ya uwizi na kupitisha mizigo kwa magendo?

Kuna mambo mtu badala ya kukasirika, unaweza jikuta ukicheka kana kwamba ni mazuri!

Chawa wa DP world ukiwauliza ni kwa nini bandari zetu amepewa mwarabu pasipo kujua mgao wa nini sisi kama wenye bandari tutapata, wanasema ni kukithiri kwa uwizi

Nawauliza, huo uwizi mnaolalamikia, waende Chadema wakaudhibiti?

Maana yake mpo kuongoza serikali ili hali mmeshindwa kudhibiti uwizi?

Maana yake; bila uwizi pale bandarini, zisingelibinafisishwa?

Tanzania imekwama kwa sababu ya viongozi wa ccm walioishiwa ubunifu wa kuongoza nchi yetu!

Watupishe
 
Ni ipi sababu kuu ya bandari zetu kupewa mwarabu bila hata kujali tutalipwa shilingapi' ndio hiyo ya uwizi na kupitisha mizigo kwa magendo?

Kuna mambo mtu badala ya kukasirika, unaweza jikuta ukicheka kana kwamba ni mazuri!

Chawa wa DP world ukiwauliza ni kwa nini bandari zetu amepewa mwarabu pasipo kujua mgao wa nini sisi kama wenye bandari tutapata, wanasema ni kukithiri kwa uwizi

Nawauliza, huo uwizi mnaolalamikia, waende Chadema wakaudhibiti?

Maana yake mpo kuongoza serikali ili hali mmeshindwa kudhibiti uwizi?

Maana yake; bila uwizi pale bandarini, zisingelibinafisishwa?

Tanzania imekwama kwa sababu ya viongozi wa ccm walioishiwa ubunifu wa kuongoza nchi yetu!

Watupishe
Hiyo ndo elimu ambayo serikali inasisitiza watu wake watuletee uraiani huku. Hawajui kuwa kuna wakati ni bora mwizi wa ndani anawezakuiba na baadae akanunua kitu cha familia kuliko mwizi anayeiba na kwenda kufaidisha familia nyingine.

Kinachofanyika ni kubadilika mwizi kutoka wa ndani kwenda wa nje
 
Ni ipi sababu kuu ya bandari zetu kupewa mwarabu bila hata kujali tutalipwa shilingapi' ndio hiyo ya uwizi na kupitisha mizigo kwa magendo?

Kuna mambo mtu badala ya kukasirika, unaweza jikuta ukicheka kana kwamba ni mazuri!

Chawa wa DP world ukiwauliza ni kwa nini bandari zetu amepewa mwarabu pasipo kujua mgao wa nini sisi kama wenye bandari tutapata, wanasema ni kukithiri kwa uwizi

Nawauliza, huo uwizi mnaolalamikia, waende Chadema wakaudhibiti?

Maana yake mpo kuongoza serikali ili hali mmeshindwa kudhibiti uwizi?

Maana yake; bila uwizi pale bandarini, zisingelibinafisishwa?

Tanzania imekwama kwa sababu ya viongozi wa ccm walioishiwa ubunifu wa kuongoza nchi yetu!

Watupishe
Nambaya zaidi wanaoiba wanawajua maana wanasema ndowanaokataa Mkataba wa DPW,,
 
Ni ipi sababu kuu ya bandari zetu kupewa mwarabu bila hata kujali tutalipwa shilingapi' ndio hiyo ya uwizi na kupitisha mizigo kwa magendo?

Kuna mambo mtu badala ya kukasirika, unaweza jikuta ukicheka kana kwamba ni mazuri!

Chawa wa DP world ukiwauliza ni kwa nini bandari zetu amepewa mwarabu pasipo kujua mgao wa nini sisi kama wenye bandari tutapata, wanasema ni kukithiri kwa uwizi

Nawauliza, huo uwizi mnaolalamikia, waende Chadema wakaudhibiti?

Maana yake mpo kuongoza serikali ili hali mmeshindwa kudhibiti uwizi?

Maana yake; bila uwizi pale bandarini, zisingelibinafisishwa?

Tanzania imekwama kwa sababu ya viongozi wa ccm walioishiwa ubunifu wa kuongoza nchi yetu!

Watupishe
Badala ya kuandika hoja zao za kijinga, ulipaswa kuandika ya kwako ya kisomi, hata hivyo nawe ni mjinga pia
 
Watu walikuwa wanamwogopa sana Magufuli. But not everyone. Hawa watu wa bandari walikuwa hawamheshimu Magufuli. Kama watu wa BOT. Attitude yao ilikuwa "wewe nenda kawatishe watu wengine". Sasa kama BOT inamilikiwa na Rothschilds,kwa nini wamuogope Magufuli?
 
Inasemekana Vita vikuu vya kwanza vya Dunia, ambavyo vilipelekea Vita vya pili vya Dunia, vilianza mara baada ya mtu mmoja mashuhuri kuuwawa Katika mazingira yenye utata!

Mjadala wa ubinasfishaji wa shughuli za bandari nchini umeacha pande zote mbili kinzani, Wanaharakati na Serikali, Katika msongo wa voti nyingi kuliko! ... HALI SI SHWARI SANA, NA TUMEISHAANZA KUSIKIA MALALAMIKO YA BAADHI YA WADAU WAKILALAMIKA KUTISHIWA MAISHA KWA KUTOA MAONI YAO KWA NIA NJEMA KABISA HUKU WAKIZINGATIA MASLAHI MAPANA YA KITAIFA!

ANGALIZO!: Tuna maadui Watanzania, NDANI NA NJE, wanaoweza kuutumia mjadala huu mdogo kuwa kama chanzo kizuri cha kutuvuruga, kwa kumdhuru mdau yeyote, kati ya wanaharakati au hata serikali, na kutuletea machafuko!

TUNAWAOMBA TISS NA VYOMBO VINGINE VYA DOLA VIWALINDE VIONGOZI WETU, WANAHARAKATI NA VIONGOZI WA SERIKALI, ILI ADUI AKOSE PA KUANZIA!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!
Time will tell!
 
Wakubeba lawama ni mwananchi. Km kuna maswali juu ya kauli yangu yawe machache☹️☹️☹️
 
Back
Top Bottom