Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kapita hapo ndio mwanzo alipotoka akaingia kwa k na uwoyaNa Bashite kapita hapo?
Aiseew Bashite kumbe noma eeeh!Mie nilijua ni K tu kumbe hadi Uwoya aiseee ndoa hizi ni uvumilivu tukapita hapo ndio mwanzo alipotoka akaingia kwa k na uwoya
Mimi sijali kiswahili chake hata angeandika kijaruo au kiha sawa tu. Najali ukweli alioweka kwenye bandiko lake, nadhani hata walioitisha mkutano wa kina Batuli hawakuliona hilo kabla. Unawezaje kuwa mfia Chama kwa kulipwa? Leo wajumbe wa nyumba kumi wa Ccm waliofanya kampeni nyumba kwa nyumba bure wakisikia kulikuwa na malipo ya kufanya kampeni watajisikiaje? Tutaaminije maneno ya waliolipwa ili waseme? Wangewezaje kutueleza ubaya wa Ccm iliyowalipa hata kama walikuwa wanaujua? Kumbuka hawakulipwa kutumbuiza Bali walilipwa kukampeni kwa niaba ya Chama, kumbe yote waliyotwambia hayakuwa halisi bali yalitokana na ujira waliopata? Hata kama watakuponda, UWOYA wewe ni mwanaccm halisi kuliko hawa wafanyabiashara waliokusanywa asubuhi na huenda wamelipwa tena.Kiswahili alichoandika huyu binti ni kibaya sana
Ushamuona ana drama za ajabu ajabu kama sepenga??
zaidi ya uvumilivu kuvumilia ndoa nacho kipaji ujueAiseew Bashite kumbe noma eeeh!Mie nilijua ni K tu kumbe hadi Uwoya aiseee ndoa hizi ni uvumilivu tu
Aiseee Uwoya ni Zero kabisa. Hapa ndipo huwa namkubali Wema, yule binti ana akili basi tu.Plus IQ zero ,anadhani kila mtu ni bongo movie, wanaambiwa waende shule hawataki
Mwandiko huo angeandika kwenye karatasi sidhani kama tungeelewa.
Kwa kweli ukiwa upinzani ni wewe unatoa hela yako mpaka nauli ya vikao ni wewe hakuna posho, ccm ni hela tu kila kitu sasa wap hawajazoea hiyo hali mpaka wazoee itachukua mudaKwani mlifuata nni si hela? Kwani hilo nani asie jua....UKIMKUTA MTU CCM ANASBRI FAVOUR..LKN KUWEPO CDM AU UPINZANI NI MAPENZI YA KUTOKA MOYONI NA MUDA MWINGINE UTAJIKUTA WW NDIO UNACHANGIA BADALA YA KULIPWA NDIO MAANA CDM IKO IMARA!
Batuli ni yule anayetoka na mkuu wa mambo ya ndani, kamnunulia gari bado hajamalizia kulilipiaBatuli si ndo yule mtalaka wa Mh.Mbunge wa CCM?????????????
Aiseee, huu ubuyu dadangu Nifah hakuwah kunimegea so kuna bashite na mkuu wa mambo ya ndani wote wamepitaBatuli ni yule anayetoka na mkuu wa mambo ya ndani, kamnunulia gari bado hajamalizia kulilipia
Hahahahaha hii nomaKuliko ule wa Daudi Bashite kwenye ile list alitoa??
Sikuwah kuskia,ndo leo nimemegewa hapahapa......................Wa Bashite naujua,hayo mambo ya ndani ni mapya tena.
Batuli ataacha orodha jamani,uwiiiiiiiii!