The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Makahaba wote mjini wanajiita wapambanaji."Mpambanaji" ..naona hili neno mpambanaji linapoteza maana kwa kasi sana
View attachment 593704
Hilo neno linatumika vibaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makahaba wote mjini wanajiita wapambanaji."Mpambanaji" ..naona hili neno mpambanaji linapoteza maana kwa kasi sana
View attachment 593704
Hili tukio la ziwa moja kutoka nje ya sidiria kutokana na kubanwa, lilishawahi kumkuta mwanamuziki mmoja wa kimarekani. Ila kule waliona ni bahati mbaya, huku kwetu imeshikiliwa bango"Mpambanaji" ..naona hili neno mpambanaji linapoteza maana kwa kasi sana
View attachment 593704
Kwa sababu ni mpambanaji ndio amnange mwenzie? Mpambanaji wa kweli hana huo mudaShilole mpambanaji, usimfananishe na mademu wanaotegemea urembo kundesha maisha yao town. Kwanza bora anavyochoma chips zake kuliko kutegemea watu watafute pesa ndio wakupe wewe.
Wanawake bwawa nashukuru sana kuzaliwa wa kiume alaf sasa sina Dada namuomba Mungu anipe watoto wa Kiume tuWanaojielewa tu watamuelewa shilole.
Hujielewi weweShilole nae ana matatizo yake ! Anatamani sana hilo zali lingemuangukia yeye ila ndiyo hivyo tena.
Yeye aendelee kuchoma chipsi, mbona poa tu
Wanawake bwawa nashukuru sana kuzaliwa wa kiume alaf sasa sina Dada namuomba Mungu anipe watoto wa Kiume tu
We ndo shilolekiuno/shishibaby nnHujielewi wewe
Ndio maana nikamuomba Mungu anijaalie watoto wa Kiume coz nyie mnashida sana nisije nikaja kuchinja Bure.Mama ako ni mwanaume?acha kashfa kijana. Huwezi amini ila utajaliwa watoto wa kike tupu hata ukiamua kuzaa njee napo itakua hivyo hivyo. Usimkufuru Muumba mbingu na nchi
Mungu atakupa kadiri ya uombavyo.Ndio maana nikamuomba Mungu anijaalie watoto wa Kiume coz nyie mnashida sana nisije nikaja kuchinja Bure.
Namuomba Mungu aniepushie na maluuuniMungu atakupa kadiri ya uombavyo.
Lakini omba pia usije uzao wako usiwe wa kina james Delicious
Hujielewi kiaziWe ndo shilolekiuno/shishibaby nn
Unatafuta mume kwa nguvu siyoHujielewi kiazi
Aisee huyo jamaa anashangaza sana. Hao watoto wa kiume si watazaliwa na mwanamke..Humu JF kuna mijitu ya ajabuMama ako ni mwanaume?acha kashfa kijana. Huwezi amini ila utajaliwa watoto wa kike tupu hata ukiamua kuzaa njee napo itakua hivyo hivyo. Usimkufuru Muumba mbingu na nchi
acha ujinga wewe. Huyo wa kiume akiwa shoga utasemaje?Ndio maana nikamuomba Mungu anijaalie watoto wa Kiume coz nyie mnashida sana nisije nikaja kuchinja Bure.
JF raha sana....Huyu nyuma ya Shilole ni Kagame?